Habari zenu wote wanajamvi,
Kuna dada mmoja nimeanzanae mahusiano hivi karibuni yapata wiki moja,
Anadai nikajitambulishe kwao hivi wakuu hii imekaaje ukizingatia ni muda mfupi tuliofahamiana? Natanguliza shukurani kwenu naombeni ushauri tafadhali.
Wakuu naomba ushauri , mimi naishi kwenye nyumba ya kupanga na mama mwenye nyumba mwenye mtoto mmoja wa kike , nimepanga chumba ambacho pembeni kuna chumba cha huyu mtoto wa kike wa mama mwenye nyumba na karibia mwaka mmoja na nusu toka nianze kuishi hapa , kila ninapo muona huyu dada navutiwa...
Nina mpenzi wangu tumekuwa nae muda mrefu bila kupeana wet kiss leo nikataka kujaribu kumkiss nikakutana na harufu fulani ambayo sikuipenda na nikazuga nimesahau kitu fulana ili kuepukana na hali hiyo, naomba kuuliza wakuu hivi hii hali husababishwa na nini na anaweza tibika huyu. Kwa mtazamo...
Jamani mbona mwawaka hivyo huyu kimwana sio kwamba nataka nimchezee , nataka kumuingiza ndani jumla, huwa nijisikia furaha nikimuonga na binti kadisenti kiana fulani kwa kweli kananikosha lazima nitaendelea kukahonga hakuna hatakaye nizuia kwa ili wakuu.
Wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa huyu dada kuwa nampenda,na pia huwa naona raha sana kumuonga huyu mrembo.
Wanaodai kuwa pesa ndio mapenzi ipo siku utaishiwa na mwanamke atakukimbia kwa sababu ya kukosa pesa na akitokea mwingine mwenye pesa ni rahisi kumkubali.
Habari zenu wakuu, nimejaribu kutembelea post nyingi za watu wenye shida za kupata wenza wakishauriwa watumie pesa kuwanasa mabinti wanao wanaowapenda , je ni namna gani penzi la kweli laweza nunuliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.