I expect, like me, you are aware that there has never been a prosperous black-led country, but perhaps its just because of bad luck, or whatever, for that incontrovertible fact.
Take Haiti as an example. Before the black slaves revolted and killed all the whites and half castes Haiti had a...
Sata says he is shocked at Mafia style Liato hid K2.1 billion
President Michael Michael Sata says he is shocked at the discovery of K2.1 billion hidden at former Minister Austin Liatos farm.
No doubt, the Mafia-style under which this money was hidden raises serious questions about how the...
Ninesoma kwenye gazeti la Tanzania daima Mpinzani wa JK apeta TUCTA, kuwa wabunge wa viti maalum CCM wametimuliwa kwenye kukao cha tukta kwa kuwa wao sio wanachama! Wadau, uwezekano huo upo kumteua mtu kuwa mwakilishi wa kikundi asichokijua? Au uteuzi wa wabunge viti maalum wakiwa kama...
Yule kiongozi wa Taleban na rafiki mkubwa wa Osama bin Laden ameuawa na wanajeshi wa Marekani huko Kusini mwa Afganistan! source CNN breaking news
=====================
Kabul: According to media reports, Afghan Taliban leader Mullah Omar has been killed in Pakistan...
Kwa haya yaliyotokea Arusha na sasa Mbarali, nina wasiwasi na elimu wanayopata maaskari polisi wanafunzi! Yaelekea wanajifunza tu kulenga shabaha na namna ya kurusha mabomu!
Nashauri iwepo ellimu ya haki za raia pamoja na saikolojia jamii (social psychology) kwani mazingira yanavyoonekana...
Waajiriwa ni wachache sana na wanawajibika moja kwa moja bungeni. Kazi yao kubwa ni kufanya utafiti wa mambo yanayo sababisha rushwa, sio kuwakamata walarushwa! Walarushwa hukamatwa na Polisi wakishhirikiana mabenki au makampuni makubwa ya biashara! Benk hulinganisha kipato cha mtu, mali alizo...
Nimesikia mara kwa mara B.W Mkapa na Kinana wakijibu waandishi wa habari kuwa ushabiki wa Dr Slaa sio kitu, eti kwa sababu uchaguzi wa 1995 "hata Mrema alikuwa hivyohivyo".
Sina ushabiki wowote kwa sasa ila nimekasirishwa kwa kauli hizo kwa sababu mimi ni mmojawapo ya walioshindwa kupiga kura...
Huyu alikuwa mwl. wa hisabati pale UDSM aliyependa sana mizaha akiwa darasanai, mojawapo ni hii hadithi hapa:
Hapo zamani za kale akili zilikuwa zinauzwa. Basi mtu mmoja akaenda kununua akili akakuta bei zifuatazo akili no.1=US$1000, akili no.2=US$5000 na akili no.3=US$10000!!
Alipouliza...
Habari zenu wana JF, Mimi naitwa Kilimi W. Shilemi, naomba kujiunga na house of Great thinkers,ili nami niweze kile kidogo nilichoficha kwenye ubongo wangu!
Nashukuru japo hamjanijibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.