Search results

  1. paesulta

    Nini kimefanya Reggae ipotee kwenye ramani Tanzania?

    Ungefafanua umepotea katika ramani ipi. Kama ulimaanisha reggae kwa ujumla basi hauko sahihi, kwani reggae is still very strong. Kama ulimaanisha reggae ya Tanzania basi naweza kubaliana na wewe kuwa reggae ya Tanzania imerudi nyuma sana, lakini sio kupotea kwenye ramani. Reggae si mziki wa...
  2. paesulta

    Shemeji anatapanya mali za marehemu kaka na wanaume wengine, nifanyeje?

    Nadhani umesema kulikuwa na msimamizi aliyeteuliwa. Baada ya kumteua msimamizi wa mirathi mlitakiwa kwenda mahakamani kumthibitisha na mgawanyo wa mali ufanyike. Baada ya mgawanyo wa mali, taarifa ya mgawanyo ilitakiwa irudishwe mahakamani. Baada ya hapo kila kilichogawiwa kingeendelea kuwa...
  3. paesulta

    Asu - Abdul Misambano

    Asu MISAMBANO | Song | Free Download | Free Music, Listen Now
  4. paesulta

    ITV hawajui wakifanyacho Kwa Kufanya Siasa Chafu kupitia TV yao!

    Strategic Plani ya LHRC,Tokeo namba moja ni kupatikana Katiba ya wananchi....lijue hilo muweka mada
  5. paesulta

    LHRC na uangalizi wa Uchaguzi Nchi Nzima

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinafanya uangalizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchi nzima na wanakuletea taarifa hizo kwa wakati sahihi. Fuatilia hapa facebook page maalum inaitwa #Taarifa Za Uchaguzi. Tanzania hapa https://m.facebook.com/chaguzitanzania?refid=17&_ft_&__tn__=C
  6. paesulta

    Naomba Kuuliza, Hivi LHRC ni Chama cha siasa cha Upinzani?

    Makusudically (kama punavyojiita), Labda umeandika mada yako bila kuelewa jinsi mfumo wa sheria Tanzania unavyofanya kazi. Hizo tuhuma unazozisema ni tuhuma za mauaji. Makosa ya mauaji ni makosa ya jinai, aliye na mamlaka ya kufanya uchunguzi ni Jeshi la Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa...
  7. paesulta

    Wanaharakati wa haki za binadamu (LHRC) Ponda siyo binadamu?!!?

    Hatuna imani na uchunguzi kuhusu Sheikh Ponda - Mtandao wa Haki za Binadamu 12/08/2013 0 Comments Taarifa ya BBC Swahili - Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania umesema hauna imani na tume iliyoundwa na jeshi la polisi nchini humo kwa ajili ya kuchunguza tukio la kupigwa risasi...
  8. paesulta

    Kesi dhidi ya Pinda yapangiwa majaji

    "Kesi ya LHRC/TLS dhidi ya Waziri Mkuu, imepangiwa Majaji watatu: Jaji Kiongozi Fakhi Jundu, Jaji Augustine Mwarija na Jaji Dr. Fauz Twaibu. Tunasubiri kupata tarehe za kesi kuanza kusikilizwa"
  9. paesulta

    Itungwe sheria kudhibiti matumizi ya Loud speaker katika nyumba za ibada

    Faida ipo kwa anayetaka kusikiliza. Imani ni uhuru wa mtu, unachoamini wewe sicho ninachoamini mimi....
  10. paesulta

    Tume ya ajira mzigo kwa serikali:

    Mbona watu kibao tu wameshaitwa. Mimi binafsi nimeitwa mara tatu kwenye usaili bila kuwa na uhusiano na mtu yeyote wala kujuana.. Wewe umefanya utafiti gani kusupport hayo unayosema?
  11. paesulta

    Kesi ya mbagala yafutwa

    Kwa taarifa yako baadhi ya watuhumiwa wameshikwa tena na taratibu za kuwafungulia upya mashitaka unafanyika.
  12. paesulta

    Kesi ya mbagala yafutwa

    Aliyekwambia Ponda alikuwa kati ya watuhumiwa wa Mbagala nani? Ushabiki utatupeleka pabaya...!
  13. paesulta

    Kesi ya mbagala yafutwa

    ....LATEST NEW: 10 kati ya watuhumiwa 15 walishikwa tena na polisi na taratibu za kuwaandikia upya mashitaka zinafanyika.I'm amazed that Tanzania media up to this time haven't reported on this news....!
  14. paesulta

    Kesi ya mbagala yafutwa

    Acheni ushabiki.Waendesha mashitaka wamefanya uzembe pamoja na kuwa hawa jamaa walikuwa na kesi kubwa ya kujibu. Ni swala la procedure tu na hawa jamaa siku si nyingi wataletwa tena mahakamani kwa makosa haya haya.Someni sheria kwanza na sio mambo ya takbir....
  15. paesulta

    Kesi ya mbagala yafutwa

    Breaking News:Kesi ya Mbagala ya kuvunja makanisa yafutwa.Ilikuwa for PH na prosecution wameshindwa kukamilisha upelelezi ndani ya siku 60 na hawaku-file certificate ya kuomba further adjournment.Washtakiwa wote 15 wako huru as per sect.225(5) CPA.......60 days Rule people
  16. paesulta

    Vip kuhusu mkopo law school?

    Mpaka mwaka huu 2012 Cohort ya 11, Bodi ya mikopo haihusiki na mikopo ya Law School of Tanzania.Kama mtu anaahitaji mkopo basi wanafunzi wanajiorganise na kuomba mkopo kupitia chuo na kama mkopo ukikubaliwa basi huwa unatoka wizara ya Sheria na Katiba kupitia Law School. Lakini nasikia kuanzia...
  17. paesulta

    Huyu muuaji kwanini sura yake inafichwa!?

    Kwa kuwa fair kisheria huyu bwana bana ni mtuhumiwa tu na bado ni innocent mpaka hapo atakapothibitishwa na mahakama kuwa mweli alitenda kosa analotuhumiwa kutenda. Kimaadili ya kazi ya kiuandishi wa habari, waandishi nao wanapaswa kuzingatia swala la innocence until proven guilt by the court...
Back
Top Bottom