Ninachojua moja kati ya watu poa sana hawana maringo na wanapesa ya kutosha ni mmiliki wa hiyo kwaya Bwana Waziri,ni mtu asiye na maringo kabisa,na anaongea na kila mtu.Ameamua kujitolea fedha zake kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji.La sivyo angeweza kufungua bar,au kuwekeza kwenye vitu...
Mkuu Nenda Tanesco watakuambia shida ni nn?
Jana yemenikuta hayo leo mwenye nyumba kaenda Tanesco akaambiwa analimbikizo la deni la 1.7m,so meter imefungiwa,akapewa option ya kulipa deni kidogo kidogo tumeambiwa kuifungua meter lazima tununue umeme wa 75,000 kwanza ndio tutapewa maelekezo vizuri.
Nyumba ni Asset,hizo cost hazina association na nyumba husika,thise are just living cost,hata kama usingekuwa na nyumba yako still ungelipa bill ya maji na umeme.Ofcourse unaweza kusema siyo asset coz haitengenezi faida,lakini ni moja kati ya utajiri wako ambao wakati wowote u can turn it into...
Nina miaka 32
mkristo
Muajiriwa
Elimu Degree
Sio mrefu sio mfupi
Maji ya kunde.
Mwanamke anayehitajika;
Miaka chini ya 27
Awe mkristo
Elimu, diploma au degree
Mweupe
Mwili wa kawaida
Kama una mtoto basi awe wa kike.
Karibu inbox tuyajenge
Nuaza kiwanja chenye ukubwa wa Square meter 400.Kipo umbali wa dk kutoka barabara kuu ya lami,Pembeni kuna nguzo ya umeme.Barabara ya mtaa ipo mpaka kwenye plot.
Bei ni 3,700,000.Unaweza kulipa kwa awamu mbili Awamu ya kwanza iwe mil 2.
Mawasiliano 0684-865287
hahaaaaaaa...tatizo mpira naupendaaa mnoooo so nikichanganya na kubeti nazidi kuupenda zaidi sasa hivi hapa job mimi ndio mwalimu Gashasaha au DR Leak,maana mpaka ligi ya India naijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.