kwani JK ana matatizo gani? ndio maana unaambiwa lazima achekiwe afya kila mara maana mara tatu zote alizoanguka tunapewa sababu tofauti, 2005 uchovu wa kampeni, Mwanza uchovu wa safari, 2010 swaumu.
Tunahitaji afya ya raisi izingatiwe, mara zote hizo ni hadharani, haiyumkini huanguka mara...
hahaha, kwa akili zao jamaa, wanaweza kusema ni mvua ya wapinzani.
Wakati mwingine unaweza kuamini hawa jamaa wa ccm kama vile watu punguani kwa matendo na kauli zao
wewe ni mlamba miguu. ni mmoja kati ya wale wanaoneemeka na ofa zake ndio maana unatetea malezi yake na utu wema wake. kama ndugu zake tu wa karibu wanamtaja kuwa mtu mnafiki, wewe unajuaje kuhusu wema wake?
elimu gani unasemea? hiyo ya kufanyiwa mitihani?
huo ndio ufala ukisikia. Mbeleko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.