Siku Chadema wakijitambua ni pale wakijatambua
Badilisheni uongozi wa juu. Kuna watu wanatumia watu kujijenga wao na familia zao…
Kila mtu atatoa hesabu yake kwa muumba
Hizi sifa za huyu mwendazake hii nchi ilipakwa makaa ya moto
Hatujitambui
Tumesahau Richmond na mengineyo…
matumizi mabaya ya fedha kwa mtindo mwingine
Maandamano Maandamano yasipoe
Tusijiegeshe
Mods acheni kutudhulumu haki yetu
Let the truth be told sio kufutafuta tu kila comments za kuikomboa Taifa
Huwa sipati majibu kwa nini huyu mtu hayupo jela. Ina maana hata mahakama zooooooote duniani hakuna namna?! Kwani wanasheria na viongozi wa Chadema wanaona hili ni poa tu au mimi ndio sielewi mweh.
Pole sana Mkuu!
Hatujavaa kiatu chako
Tunakuombea Mungu akujalie moyo wa Imani Moyo wa Uvumilivu Moyo wa Ujasiri. Mke wako anajua Upendo wako kwake! Kaa karibu mpe moyo wa kuamini mtakutana tena Ng’ambo ile!
Tuombe Uzima juu yake kuliko Mauti
Kuna miujiza Amini!
Mkuu serikali si ndio chama na chama si ndio serikali! Mfumo mzima ni mbovu
Ndio maana unaona kipepe yupo kila mahali.
Katiba ndio shida
Hatujaweza kutofautisha chama na serikali
Unaweza ukawa sahihi lakini kikubwa ujumbe umefika kwa walengwa
Afadhali Chadema wamethubutu na mapungufu yao (ambayo kila Taasisi vikundi etc vina mapungufu) So tusiwabeze bali tuunge mkono juhudi zao kuliko kuvunjana moyo. aciti nccr cuf sijui ni mfano wa 👝 au ni mjumuiko wa vikao vya kupeana...
Apongezwe kwa lipi? Tuna safari ndefu sana kama Taifa
Katiba inaruhusu!
Sioni kwa nini Polisi sijui rais wapongezwe for what?
Haki yenu then mnasema wapongezwe how why?
Hili la gender limenishangaza
Why kuwa na huo msisitizo
Atachaguliwa anayefaa sio lazima me na ke
Chadema nao sometimes wanajicganganya
Tuwape nafasi wanaweza kurekebisha hapo
Wanaweza kuwa sahihi
Tuwasikilize
Wenzetu waliowahi kujua maisha nchi za ulimwengu wa kwanza
viongozi wanachaguliwa na wananchi sio kuteuliwa.
Hatupashwi kuwa na wakuu wa mikoa na wilaya
Wabunge ndio wa kufanya shughuli hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.