Msaada, Hivi soka la tanzania linasimamiwa Clouds FM au TFF?
Nilidhani serikali na Tff ndiyo ingekuwa na dhamana ya kupromote na kumwandalia sherehe Samatta, au claude fm wameona fursa wanataka wapige mpuga kupitia Samatta?
Mana sasa hv hatusikii diamond wala ally kiba, wasije wakamtumia kama...
Wadau wa JF na wanasheria, ningependa kufahamishwa hili;
Sheria ya fedha inasemaje juu ya kiwango cha fedha tasilimu ambacho mtu anaweza kutembea nacho?
Mfano: Fedha za Dodoma (alizokamatwa nazo hotelini yule Mfanyakazi wa Quality Centre)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.