Unaweza kuwa wa level ya chini kuliko au kama wengne but ukaheshimika kutokana na aina ya majukumu unayoyafanya..mfano wazir wa michezo,wa fedha na wa utalii wote ni mawaziri but automatically waziri wa fedha lazima atakuwa na power zaidi kuliko hao wengne kutokana na majukumu yake tuu..na hata...
Huyo mwanamke kama kweli mnapendana usimuache,mapenzi ya kweli huja mara moja tu ktk maisha..huwezi kumuacha mwanamke wako kwa sababu ya upuuzi wa baba yake..kama na penzi lako dogo
Kutoka kwa chanzo cha ndani..ni kwamba ilikuwa ni ofa ya siku moja..hiyo ndege ilikuwa imenunuliwa na shirika na ilikuwa inapelekwa Mwanza kufanyiwa uzundizi..ndio ikaonekana lazima angalau pia ibebe abiria kadhaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.