Samahani wadau,nina shida ya mkopo kwa dhamana ya nyumba haijaisha yote lakini na pia nina sales agreement tu ya kiwanja maana hati miliki bado ipo kwenye mchakato..msaada
Wangu kanipita 20 am 29 and he's 49 niseme tu naenjoy[emoji7]...drama zipo kidogo sababu wanaume hawakosagi mapichapicha[emoji2] kitandani yupo moto na kunijali anajali!!Sitamani tena kudate kijana
Yeah ukipita aptitude test yao ya maswali wanakutumia email kwa ajili ya briefing ya 2mnts hivi...na mimi niliishia stage hio hawakuwahi kunijibu tena from there
Habari wanaJF,
Samahani naombeni Mnisaide hivi Mtu anapataje sponsorship kwa mfano ya kusoma Canada, ni kwamba unaomba?
Naombeni tu kufahamu juu ya hilo.
Asanteni
Smh...Hii dunia!!Kitu cha aibu kama kile watu wako busy kusifia harmonize kakosea na kajala ana makosa yake!ila watanzania huwaga ni wanafki watamgeuka tu likitokea jambo lingine!![emoji23].....mi namuona anabaki kukubalika bongo tu kwa anapoelekea ila internationaly atapotea
Stucking all the time...Imagine kufungua txt ya kawaida tu might take 40sec,poor camera quality,network yake ipo slow kusupport sim card..hayo ni machache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.