Tabia hii ya kuonyesha kidole wale waletao maendeleo badala ya kuwapongeza ni hatari. Badala ya kushukuru Mama Tibaijuka kwa kuleta miradi nyumbani mtu na akili zake timamu anaishia lawama na kutafuta kasoro, eti pia kapeleka kwao! Je tutafika kwa fikra finyu kama hizi?
Pepe
WanaJamii,
Salaam alykum!
Asante kunipa nafasi
Mama Tibaijuka anatakiwa awaeleze watanzania nini hasa kilitokea akapokonywa wadhifa wake Nairobi na hivyo kuaibisha taifa. Je huyo Katibu Mkuu Ban Ki-Moon kwa nini hakuheshimu Makamu wake Mama Migiro? Ungetegemea Migiro angelimlinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.