Wana UKAWA nakosema kuwaleteeni First Lady- 2016.
Mawasiliano yake ya twitter ni @FLUROT
cc: cacico, Preta, Madame B Ngongo Molemo na wengineo. Mje mumuone FL huyooooo.
Wana bodi,
Nimekutana na hii kule FB, kuna Kundi moja linaitwa "TANURU LA FIKRA" Kwa kweli kwa maoni yangu hili kundi linapaswa kuwa "TANURU LA VILAZA" Maana ukipita katika mawazo ya wana kundi utgundua shida kubwa sana! Huna nawaza ina maana yale tuyaonayo kama matatizo ya Elimu nchini ndo...
Kate Samwel likes Wema Sepetu.
Yesterday at 5:00pm ·
Wema Sepetu
Actor/Director · 159,862 Likes
Ndugu wana bodi,
Picha hapo juu nimecopy kama ilivyo kule facebook na kuileta kwenye jukwaa hili niulize, kuna shida gani katika uelewa wa Celebrities hapa bongo? Yaani ukurasa wa Mrembo Wema...
Wakuu,
Katika kitu ambacho bado sielewi ni kuwa hivi kweli serikali yetu inao utashi wa kumaliza tatizo SUGU la umeme? Wakati tunakumbwa na power rationing 2006, kama nakumbuka vizuri serikali ilitengeneza master plan inayoonyesha mipango ya muda mrefu na mfupi kukabiliana na tatizo la upungufu...
Wakuu,
Hivi ina maana SUGU na Ruge wa biff kubwa kiasi hiki!!!
Nimesikia album ya SUGU inayoitwa "anti-virus" na inayopatikana on-line bure ni balaa!! Maana SUGU anatukana live na kuelelza jinsi RUGE & Clouds team wanavyowanyonya wasanii kwa kuwatumia kwa kisingizio cha promo!!!
Hii sasa...
Source Channel Ten through Msimamizi
Wakuu Mkinga haya
CUF- Mbege 11,252
CCM- Kitandula 19,667
Udiwani
CUF- 7 kata
CCM- 14 kata
Uraisi
CHADEMA- 1,083
CUF- 1,480
CCM- 22,803
Muheza
Kata zote 33 wamechukua CCM
Handema
Kata 23 zimekwenda CCM ubunge na uraisi
Pangani
Pamba CCM - Kura 9,342...
Wakuu,
Jana katika mkutano wake na waandishi wa habari JK kwa mdomo wake alinishangaza pale alipotoa mfano wa ajira walizo leta katika kipindi cha miaka mitano ni "uanzishwaji wa Groceries mitaani apapo wafuna visoda wamepata kazi"
Hivi kweli huu ndiyo ubora wa JK & CCM towards ajira...
Wakuu,
Toka nilivyosikia kuwa mwanasiasa na mwanasheria mkongwe nchini Mabere Marando kahamia CHADEMA, nimekuwa katika upembuzi yakinifu kutokana na historia yan nyuma ya mheshimiwa huyu.
Mabere Marando; kama wote tufahamuvyo aliwahi kuajiriwa serikalini kule kwa wale wanaojiita "Usalama wa...
Ndugu zangu wana JF,
Kwa makini nimekuwa na tafakari ya matokeo ya (Kura ya amoni) referendum Zanzibar na kupata maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Kwa matokeo haya; naamini yataleta mgongano wa uendeshaji wa nchi, ikizingatiwa Serikali ya CCM imekuwa ikisistiza kuwa ZNZ si nchi bali sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.