hivi kimario hakuwa expert! wanajeshi aliotumia kimario walikuwa tofauti na lupogo? kwenye mahojiano na kitabu cha jenerali wa uganda anaitwa rwehururu anakiri ujio wa kimario ulibadilisha upepo kwenye uwanja wa mapigano kwa sababu walipigwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vita. it seems kimario...
Matapeli wengi mbali ya kuwa na maneno na akili nyingi pia ni washirikina sana. Wanatumia sayansi ya giza kufanikisha mambo yao. Omba dua kukuepusha na ulozi wakati unaendelea na kutafuta haki yako
Wayahudi wanamuona yesu kama myahudi mwingine mwenye akili. Tembea dunia uone, huyo anaedhani wayahudi wana muda na ukristo better think again and again. Myahudi ni mwenyewe tu wengine ni bughudha. Myahudi hayuko pamoja na mtu mwingine do not ever kid yourself
Alitakiwa afukuzwe kazi Mara moja. Wanasheria waweke ushahidi siku huyo anaewalinda akiondoka wamfunhulie mashtaka ya kuibia serikali na matumizi mabaya ya madaraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.