Ninawapenda watanzania ndugu zangu, niungane na wote mliotoa maoni yenu kuupinga mwenge nikisema jambo usilolijua nikama usiku wa giza nene,mwanzoni nami mwenzenu nilikuwa na mawazo kama nyinyi na pengine chuki yangu dhidi ya mwenge ilikuwa kubwa kuliko ata nyie.
1.ndugu zangu mwenge unakuwa...
Ili suala la luaga mpina linahitaji ufatiliaji wa kina.report ya CAG uwa si ya kukurupukia. Ndo maana zinaitwa hoja za cag zinahitaji majibu.anachosema hapo ni kuacha kutumia taratibu za manunuzi na kufanya single source kwa maelekezo ya wizara. Je tumewatafuta wizara kujibu kwanini waliamua...
Sipendezwi mawazo ya baadhi ya watanzania na nadhani kuna shida mahali
Mijadala humunni ya kuangalia nani alifanya nini na kulinganisha marais wa kila awamu.Kwangu mimi kila rais amejaribu kuisogeza tanzania mbele. Tujadili tunasonga je zaidi tukizingatia kwamba sisi sio kisiwa.tukichelea...
Sasa wewe uliyeandika hayo hichi chama mwl alikianzisha kiwe cha kundi la watu au watanzania wote.je watanzania wakiwaachia chama nyie hichi chama kitaendelea kuwepo au kitaishia hapo.mjitafakali
Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
Chadema hamna ata ofisi ya chama mnaijua vizuri chadema nyie.Lisu yuko ulaya mnajua atalishwa na kuvalishwa na nani nyie au ndo mnadandia tu vyama na kupelekea aman ya taifa letu matatani
Sent from my SM-T355Y using JamiiForums mobile app
Tukichukulia watu zaidi ya milion 60 watanzania na wewe mtu mmoja ambaye ata elimu yako siielewi tuachilie mbali elimu ata maadili yako si ya watanzania walio wengi ya kutukana watu hovyo. Jitafakali taifa lina watu wengi ambao kila mmoja anataka fursa sawa sio la watu wachache wanaojiona wao...
Unawaza vema.lakin sisi watanzania tunashida sana ata kama taasisi iwe imara namna gan usimamizi usipokuwa mzuri na wakuwajibishana hakuna kitakachofanyika vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.