Mbona mmewasahau hawa wa Yanga?
1. Elias Michael
2. Idd Boi
3. Hassan Gobbos,
4. Abdulrahman Juma
5. Maulid Dilunga (RIP)
Halafu vijana wa Yanga wa kocha wa Mromania:
1. Juma Pondamali "Mensah"
2. Jaffar Abdulrahman
4. Mohamed Mkweche
5. Mohammed Rishad Adolf
6. Mohammed Seugendo
7. Gordian...
Kakangu Chichi,
Huyo mchumba´ko asikuumize kichwa. Mwache uanze upya...alikua nao wawili huku akijua amechumbiwa? Si wa kumwamini hata kidogo. Ingekuwa mmoja...ningeweza kusema labda alishikwa na mashetani ya ngono. Wawili? mwache!!!
Wanajamii,
Mie najiita Dia Gnosis. Mwanadada. Niashi kaskazini ya Dunia. Nimezaliwa na kukulia na kusoma Dar´Salaam toka chekechea hadi shahada ya kwanza kabla ya kuja huku Kaskazini.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.