Kwa nini muitwe watusi. Au mna matusi na mnawatusi sana watu. By the way TZ hatuna uhaba wa makabila. Rudini kwenu Burundi mkapambane na CNDD, UPRONA, FRODEBU na Palipehutu–FNL
Wakora waitu!
Ushaambiwa na Gwaji boy kuwa Bashite alizungusha duara kuanzia primary, kisha form 4 akapata Fight For Food For Four years (yaani F5 za NECTA) halafu leo wewe umekaa unamsikiliza huyu jamaa. Kabla hujamsikiliza anayosema jiulize kwanza kichwani kwake kuna nini?
Acha ujinga basi wewe fala. Mtu yupo serious ana hali mbaya ya kiuchumi anaomba ushauri ili aweze kujisitiri halafu una mletea uchuro wako eti ajaribu Chadema. Kwani yeye kakuambia ni mfuasi wa Chadema? Hata kama angekuwa amejitambulisha kuwa yeye ni mfuasi wa Chama cha siasa. Kwani hakuna watu...
Naona Chanzo Cha Matatizo(CCM) kinazidi kuongeza Matatizo ndani ya JMT. Mlichokifanya kwenye hili la Tume ya Uchaguzi ni sawa na kumbatiza mbwa ili awe mbuzi wakati ataendelea kuwa mbwa na sio mbuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.