Robert UG says:
I believe some of you will have come across this piece which has been floating around for sometime now via forwarded emails. Apparently its Genesis is an observation read on radio by American DJ Dee Lee, a black radio personality.
Be Warned this material could be very...
everything goes with it otherwise you got it
kama kahusika kwa njia moja ua nyingine lazima tu yatamrudia na akiwa hajuhusika basi ni kama ajali zinazo wapata binadamu wengine, je madakitari wataamini kama hajahusika na hali serikali imeshatangaza ubaya ubaya tu kwa madakitari kazi anayo
Team ya maafande wa JWTZ yatua muhimbili kitengo cha dharura ilikuto huduma kwa wagonjwa wanaofikishwa katika kitengo hicho na inasemekana kua katika madakitari hao kumi na moja ni medical doctors na saba ni specialist doctors.
Hawa madakitari ni madakitari ambao walikua hawapractise medical...
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamekamatwa na wanashikiliwa na Polisi Mkoani Kigoma wakiwa na risasi 1,200 za silaha za kijeshi aina ya SMG wakizisafirisha kwenda Mpanda mkoani Rukwa.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma Mratibu
Mwandamizi wa Polisi SSP Kihenya Mzulwa Kihenya...
Kama kalamba dume sharti tumpongeze kwani vyeti havifanyi kazi sisi wabongo ndio maana hua tunashindwa kuendelea issue ni kudeliver basi kama mtu kazi anaweza anapewa sio vyeti ndio vinaweza kuja baadae lakini hapa issue ni uzoefu na kuweza kudeliver basi. kaka nenda kapige kazi unaweza kuingia...
Hii ndio inaitwa nidhamu katika kufanya mageuzi ukiona kama kuna watu ambao watasumbua katika kazi ya mageuzi ni bora kuwatoa ili kazi iende kwa kuwajibika bado shibuda kiboko chake kinakuja maana alisha onekana mwanzo kuwa anashida tangu katika azimio la chama la kuondoka bungeni.
ingekua...
Hiima hatua zichukuliwe hilo nalo neno maana tumechoshwa na kulindana uchafu wa mafisadi hata ikiwezekana hawa mafisadi pindi wanapo onekana ni kupigwa mawe tu jamii yote iwakatae.
ukweli unabaki pale pale jamaa hafai tunakubali kuna mazuri kafanya lakini baya moja tu linauwezo wa kufuta mazuri yote ndio maana hata marehemu Baba wa taifa alisha muona anadosari.
Hii kaka ikaa vibaya haijatulia kabisa, unalosema kweli kabisa barabara zimesha washinda za kawaida tu sasa hizo za juu labda lipewe kampuni kuweza kuzi manage maana wabongo wala hazitachukua miezi sita utasikia zimeeanza kuangukia watu.
Hiyo Ndio matokeo ya siasa Uchara maana lazima mbuzi wakafara apatikana ila Vinara wao wako mbali kama vile hawajui vile, hii ilitakiwa wote na Ngeleja wafukuzwe haraka na mafao yao yote pamoja mali zao zote wazikamate zirudi serikalini.
''Lairs should have good memories'' otherwise lazima wakubambe sasa huyo tunamuona coz ndio tabia yake, kwani aliwahaidi watanzania watakua na maisha bora lakini sasa hivi ni kila mtanzania na jiza.
Huyu jamaa anatapatapa tu amekua kama marketing Manager wa makampuni ya simu. Hana jipya atasema kupiga simu bure, ukiweka vocha unapata dakika za bure, ukituma pesa kwa kutumia jia ya simu utashinda zawadi, ndio vitu tulivyo vizoea kutoka kwake.
Kwa hili lazima CDM waliangalie lazima kujipanga kuweza kuwa na ofisi au coordination ya njia moja au nyingine sio lazima kufata njia ya CCM kwani Ofisi nyingi ni kweli zilitaifishwa na zingine zilijengwa kipindi cha chama kimoja na watanzania wote walichangia na pengine kukatwa kwenye mishara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.