watoto wangu wakirudi shule huwa nawauliza maswali haya:
1. siku yako ilikuwaje
2. kitu gani kipya umejifunza leo?
3. kitu gani hujakipenda siku ya leo?
4. hapo shuleni kwenu kuna sheri ipi ambayo unaona haiko sawa?
5. kuna mtu amekukorifisha leo?
6. ulipocheka shule kwa saut kubwa nini...
huna X-factor na pia you are not '' the woman of substance''
jamaa nilimuuliza swali kwa nini kakuacha akanijib hivyo....na ni kweli mate hufai kuwa mke wake...
huo mkasa ni kweli ila hakutoka kama ulivyoeleza .. bali mwalimu alituma jasusi mmoja pale monduli kwenda kufatilia mkasa ule na kuchunguza.. riport ilipofika ofisini kwa mwalimu ile ripoti haikukidhi mataraijo ya mwalimu kwa ilikuwa hafifu na duni kwa mwalimu kuchukua hatua...
mwalimu...
mara nyingi matatizo haya huwa yanasababishwa na:
baba: mkurugenzi wa shule
mama: mkuu wa shule
mtoto: mhasibu mkuu
ukikuta shule iko hivyo, basi walimu MPAKA MSEME....
mara zote ukitafuta mke hali hii hutokea..lakini ukikutanishwa na mke utaishi vizuri na mkeo/ mumeo..
wengi mnatafuta badala ya kukutanishwa......
bible imeweka wazi kabisa kwa si kila mtu ni wa kuoa au kuolewa...
.NB: mke kukimbia na vitu vya ndani na kuacha watoto wake...
kutoka ndani ya korido za vatican
1 . dubai wakipewa bandari mfumo wa udini utakua kwa kasi na kuleta mpasuko mkubwa
2. kuna agenda ya siri nyuma ya bandari kwamba wakishaingia rasmi.. taratibu watahakikisha mfumo wa utawala na uongizi nchini unatoka dini ya kiislam...
3. vikundi vya kigaidi...
kizazi cha sasa kina uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo.....
Dr slaa amekuwa wazi kwenye misimamo yake tangu enzi na enzi.... na ni mtu anaetetea maslahi ya taifa..
kuvuliwa hadhi ya ubalizi kwake hakuwezi kumyumbisha....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.