Kwa mujibu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 107A(1) inayotamka kama ifuatavyo:
"Mamlaka ya utoaji haki katika Jamhuri ya Muungano itakuwa mikononi mwa Idara ya Mahakama na Idara ya
Mahakama ya Zanzibar, na kwa hiyo hakuna chombo cha Seriikali wala cha Bunge au Baraza la...
33.(1) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kwa:
(a) kufariki; au
(b) kujiuzulu; au
(c) maradhi ya kimwili au kiakili; au
(d) sababu nyengine yoyote itakayomfanya Rais
kushindwa kutekeleza kazi za Rais,
watu wafuatao, kwa mujibu wa mpangilio, watashika nafasi hiyo:
(i) Makamo wa Pili wa Rais, au...
Kwa mujibu wa Ibara ya 33 ya Katiba ya Zanzibar Ibara ndodo ya .(1) inasema hivi
Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kwa:
(a) kufariki; au
(b) kujiuzulu; au
(c) maradhi ya kimwili au kiakili; au
(d) sababu nyengine yoyote itakayomfanya Rais
kushindwa kutekeleza kazi za Rais,
watu wafuatao, kwa...
sikia wakati ule tulishindwa tuu kueleweshwa vyema, wale hawakusaini mikataba ya manunuzi ya vifaa bali walipewa Memorundum of Understanding na sio Legal Contract kama tulivyoaminishwa
kimuundo linaitwa Jeshi la zima moto na uokoaji, ambapo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeundwa na kufanya kazi chini ya sheria namba 14 ya mwaka 2007 “FIRE AND RESCUE FORCE ACT
namaanisha kikiwa ni kitengo ndani ya jeshi la polisi watafanya majukumu mengine wakati majanga yanapokuwa hayapo.Pia vitendea kazi vipo ila kuna kauzembe ndani ya ili jeshi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.