Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
M
Jirani yangu amekuwa akisumbuliwa sana na hawa mapepo wachafu
Watu huwa wanakimbilia kutoa majibu rahisi rahisi badala ya kutafuta sababu za kisayansi. Mapepo/Uchawi/Mkono wa mtu ndiyo majibu ya wengi.
mathew2
Post #96
Dec 15, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Naishindaje hofu ya kifo inayoniandama?
Ondoa mawazo ya kufa kufa. Kifo kipo kwa uhakika. Usali, usisali haibadili lolote.
mathew2
Post #95
Sep 30, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Nimefanikiwa kuacha kunywa soda
Nyama ina shida gani?
mathew2
Post #79
Sep 20, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Kanisa la SDA la Kirumba jijini Mwanza lawafuturisha waislamu!
Mkuu wewe ndiye unayeamua dhehebu gani ni Wakristo na lipi si Wakristo! Pole sana kwa chuki hiyo. Usamehewe bure.
mathew2
Post #50
Apr 27, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Tunajifunza nini kwa Kifo cha Mtoto wa Nabii Bushiri Aka Major 1?
Yesu gani huyo unayemfananishafananisha na mtoto wa Bushiri? Kifo cha huyo YESU kilikuwa na maana kubwa. Hivyo si mfano sahihi.
mathew2
Post #60
Apr 3, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Tunajifunza nini kwa Kifo cha Mtoto wa Nabii Bushiri Aka Major 1?
Daudi hakuwa akiombea watu na kujitapa kama hawa manabiimamboleo.
mathew2
Post #55
Apr 3, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Dhana ya kutokula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwa wakristo ni imani potofu
Ingependeza kama ungeweka hiyo aya ya Biblia hapa. Vinginevyo UNAPOTOSHA kwa kutuaminisha kuwa "Biblia inasema..." wapi na inasema nini?
mathew2
Post #186
Apr 2, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Dhana ya kutokula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwa wakristo ni imani potofu
Wewe si mtii kwa amri za kanisa. Kwa maneno mengine umeliasi kanisa.
mathew2
Post #185
Apr 2, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
#COVID19
Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers
Hii tafsiri inakanganya sana. Ulisema article ya kiingereza utacheka namna yalivyotafsiriwa kwa kiswahili hapa.
mathew2
Post #21
Mar 26, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Waziri Mkuu: Watu Bilioni 3.9 Duniani jana walifuatilia Shughuli za Kumuaga Hayati Magufuli
Politiks!
mathew2
Post #311
Mar 25, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Niulize chochote kuhusu Gamboshi jiji la wachawi
Umeandika lugha gani hii? Au ndo lugha ya Gambosi?
mathew2
Post #78
Mar 25, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Nini faida ya kuwa Mpagani?
Yaani kwa hilo jina lako, lazima iwe unatishiwa kuwa kuna moto mkali wa jehanum. Badili jina pia.
mathew2
Post #105
Mar 17, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Utapeli kwenye makanisa
Achana naye huyo. Nashangaa kuwa hata heading hakuisoma! Na huko ndo kutokusoma kwenyewe.
mathew2
Post #12
Mar 14, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Utapeli kwenye makanisa
Kila asomaye bandiko hili inampasa atafakari. Ni bandiko linaloelimisha. ASOMAYE NA AFAHAMU.
mathew2
Post #8
Mar 14, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Askofu Gwajima, mahubiri yako ya jana tarehe 7 Machi, 2021 yana walakini
Mpangaji ni mtu wa namna gani? Huwezi kumheshimu asiyeamini unachokiamini?
mathew2
Post #95
Mar 8, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Nimeibiwa pikipiki zangu mbili, anayemjua mganga wa uhakika anipe ramani
Endelea hivyohivyo!
mathew2
Post #54
Mar 1, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Shetani pia hukiri akishuhudia ukuu wa Mungu
Mungu gani alisema ujisaidie na yeye atakusaidia? Naomba uweke hiyo aya hapa kama kweli ipo.
mathew2
Post #28
Feb 18, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Watanzania wanataka Serikali ifanye nini zaidi ya kuwatahadharisha kuhusu COVID-19?
Takwimu ziongee
mathew2
Post #27
Feb 18, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Nimeibiwa pikipiki zangu mbili, anayemjua mganga wa uhakika anipe ramani
Mkuu, bado unaamini mambo ya kufikirika?
mathew2
Post #52
Feb 17, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
M
Kama Kifo ni mpango wa Mungu basi Mungu wenu atakuwa katili sana, mnawezaje kuwa nae?
Ingependeza kama utaweka hayo maneno umeyatoa fungu gani ili watu msiwe mnarejea vichwa chenu badala ya biblia
mathew2
Post #412
Feb 14, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back