Search results

  1. E

    Kuelekea chaguzi Serikali za Mitaa

    Tumekuwa na utaratibu wa sisi wananchi kuwaachia wanasiasa hatma ya maisha yetu katika jamii zetu tunazoishi. Nashauri tuanze utamaduni mpya wa kabla ya chaguzi zozote zile na hasa za mitaa tunayoishi, tuwe na mikutano huru ya wananchi katika eneo husika bila kuingiliwa wala kupenyeza itikadi...
  2. E

    Makongoro: Mwalimu aliniruhusu kugombea kwa NCCR Mageuzi kuliko kushinikiza CCM kunipitisha

    Habari wanajanvi, Leo katika kipindi cha baragumu CHANNEL 10, asubuhi akiongea kwa simu Makongoro Nyerere alieleza namna ambavyo Baba wa Taifa alimruhusu mwanae kugombea kupitia NCCR Mageuzi kuliko kushinikiza Kamati kuu ya chama kupitisha jina lake. Pia kaeleza namna akiwa Mbunge alivyokuwa...
  3. E

    CCM Wapata ushindi katiba mpya

    Ndg. wanajamii mtakumbuka tangu viongozi wa waandamizi wa chama walipinga uanzishwaji katiba mpya. Nadhani yanayotokea sasa na tangu utungwaji wa sheria yenyewe yawezekana ilipangwa kwa makusudi ili katiba ya sasa iendelee. Kwa mantiki hiyo mpango mkakati wa CCM umefanikiwa kwa 100% na sasa...
  4. E

    Pendekezo la Mdahalo wa Katiba Mpya

    Ahsante si wazo baya cha msingi, wananchi tupate ukweli toka kila upande ili tufanye maamuzi sahihi,
  5. E

    Pendekezo la Mdahalo wa Katiba Mpya

    Hayo ni mawazo yangu finyu, si vibaya ukipendekeza wasemaji wengine natumaini taasisi zitakazojitokeza kuandaa mdahalo huu watawafikiria.
  6. E

    Pendekezo la Mdahalo wa Katiba Mpya

    Ndg. wanajamii kutokana na hali ya mkanganyiko wa sasa wa mchakato wa Katiba, napendekeza kuwe na mdahalo ambao wazungumzaji wakuu wawe: 1. Jaji Joseph Warioba 2. Prof. Kabudi 3. Mh. Samweli Sita 4. Mh. Andrew Chenge Mdahalo huu utangazwe na vyombo vyote vya habari binafsi na vya serikali...
  7. E

    Sitta, Chenge wanafaa uspika Bunge la Katiba - Raia mwema

    Ndg. Zangu ili mchakato huu uendelee kwa manufaa ya wananchi wote, napendekeza Spika wa Bunge la Katiba asitokane na wanasiasa. Mimi nampendekeza Francis Stola (Samahani kama nimekosea jina lake). Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika
  8. E

    Napendekeza jaji Samatta au Tundu Lissu kwenye nafasi ya uspika wa Bunge la katiba kwa sababu...

    Ndg. Zangu ili mchakato huu uendelee kwa manufaa ya wananchi wote, napendekeza Spika wa Bunge la Katiba asitokane na wanasiasa. Mimi nampendekeza Francis Stola (Samahani kama nimekosea jina lake). Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika
  9. E

    UJUMBE WA MBUNGE: Shukrani, Twende Kazi!

    Hongera sana Mheshimiwa Mbunge, Katika vipaumbele vyako kwa barabara, naomba ongeza daraja linalounganisha makongo juu na Goba, kwani hili ni kiungo muhimu sana kwa watu wanaoelekea Mwenge na UDSM... Usiumize sana juu ya upatikanaji wa fedha... Mradi wa maji Goba kama makusanyo yake...
  10. E

    Elections 2010 Dr.slaa na chadema twendeni mahakamani ushahidi upo tele!!!!

    Jumla ya wapiga kula ilikuwa ngapi?
Back
Top Bottom