kila mwanaume atasema yeye ni namba kumi...ingewezekana partners wenu ndio wacomment waseme mko namba ngapi!...wangu anamchanganyiko wa point kutoka baadhi ya vipengele hapo sasa sijui ni namba ngapi hiyo.
ndio kwanza tuna mwaka na tuna mtoto mmoja.hajawahi kunionyesha kuwa amenichioka,na nikiri kwamba ananipenda na kunijali sana.ananipa kila kitu kwa kadri ya uwezo wake,weekends kama haendi chuo basi huwa anashinda nyumbani,hajawahi kuilala nje na anajali familia. hata sakramenti ya ndoa iko pale...
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
kwa kifupi mimi sifurahii,na inaninyima raha kabisa.sina raha hat ana ndoa yenyewe maana siamini kile mume wangu anachoniambia...nikimwambia ingekuwa mimi angefanyaje ananiambia ataniua...
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
or form another political party and take many outstanding CCM members!also ni njia ya kutokomeza talks za kuua muungano!with shein z'bar,muungano will stand!
shida hiyo ilimpata dada mmoja,aliamua kubeba mimba ya kijana ili apate uhakika wa kuwa ni wake pekee,cha kushangaza,kuolewa hajaolewa mpaka leo,na kijana anamega na wasichana wengine,tena anasema live kuwa hawezi kumwoa,cha kusikitisha ni kwamba,kijana na wazazi wake wanadai mtoto anaweza kuwa...
yapo...ila siku hizi ubrothermen na usister duu umeshamiri,huwezi kuta mtu anakula hivyo siku hizi...kweli old is gold jamani!
yaani kuyaona tu,mate kibakuli...itabidi niyatafute nikumbuke enzi!
wanaypyafanya ili kupata hayo ma 'jaguar' asikwambie mtu,bora yabaki kuwa siri yao...ni mazito,hata wewe huwezi fanya nakwambia.so,usimwonee wivu mtu aliye na kitu fulani,hujui 'alivyopigika' kupata hivyo vitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.