Kwangu mimi napenda kuwashauri wadogo zangu kwa walio soma HKL, KLF au HGL apply UDOM uje usome Bachelor degree in Chinese kwasababu hii course now ina soko sana sema tatizo watu wengi sana hawalijui hili wanao soma hii course mwaka wa pili wapo wawili tu na mwaka wa kwanza wapo 12 tu but hii...
Natafuta kazi ya kujitolea (internship) kwenye kampuni binafsi au NGOs, elimu yangu ni diploma nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa hapa Tanzania
na hii hapa ni CV yangu
Leo nimeongea na mtoa huduma kwa wateja wa bodi ya mkopo HESLB na kusema kama umekosea kujaza fomu yako, mfano umekosea kujaza tarehe na mwaka wa kuzaliwa au taarifa zozote na tayari umesha print, unaweza ukaandika baarua yako ikieleza tatizo lako kisha ambatanisha na fomu ya maombi ya bodi ya...
kwa mtu yoyote mwenye ilo gazeti naomba aniangalizie majina ya walio itwa kwenye usaili halimashauli ya mji wa bariadi
bashite peter lazaro
Frank bahati
Wasichana wawili (2) wanatafuta kazi ya kuuza duka au hotelini kama utahitaji nitafute 0764531080 then nikuunganishe nao
Wanapendelea mikoa ya mwanza au dodoma
Mmoja ana miaka 20 mwingine 22
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein jana alifanikiwa kunyakua ushindi kwenye uchaguzi uliofanyika Jumapili akimshinda mgombea wa CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad.
Dk Shein, ambaye anamalizia kipindi chake kama makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.