Inasikitisha sana kupiga promo kubwa sana la visimbuzi vya antena afu mbaya zaid mmefunga minara baadhi tu ya maeneo. Haya mnatuambia dar vinapatikana ila ukija bunju na boko hakuna mnara na visimbuzi iv havifanyi kazi.
Nimetokwa vipele hivi sijui shida nini maana kama tetekuwanga nilishawahu kuugua nikiwa mdogo na kama wasemavyo tetekuwanga hairudi mara mbili. Haviumi ila vikitumbuka vinawasha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.