Big up xana mkuu umenifariji coz nilitaka nihame asa iv sing'ok pale ndanda na nakuhakikishia kuwa ujumbe wako usha fika na mbuz tutachukua tena so usijar au sio.haaaaaaaarah!!!!!
Unanuka mdomo mwanangu!!!!! embu kapige mswaki ndo uje na uz mwingine maana naisi umejinyea wewe!!! ndomaana unaropoka... "samahan kwa kutumia lugha mbaya mshikaj anakera ebooooooooo!!!!"
teh! teh! teh! teh!!!!!!!!........... kumbe kuna watu niwagum kuelewa eeeeee???? achen ujinga huooo!!!!!! yaan mnao jifanya mangaliba mnataka nyie muingie a level kwa wastan wa 41-60 katika kila somo afu wenzenu waingie a level kwa wastan wa 45-65 kila somo ivi mna akili ninyi tena mtubu...
wachome vilaza haooo! kwanza walipata c 3 za point 41 zilizo wapa 3 ya point 25 ndo wakaenda a level afu wanajiona ni wakali!!!!! ha! ha! ha! haaaaaa!!!!
sizungumzii watoto wasiojua umuhim wa elim bali namaanisha kuna watoto wana uwezo mzur tena sanaa! wamepata 4 mfano 4 za 26 na 27 afu wametoka familia za kimaskin na wanapenda shule ivi uon kuwa wakipanga kufuata mfumo wa kale hao wanaweza kufanya vizur?
Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema...
selikari ni nan? na kwanini akatae so kama mtu kaumizwa kwanin selikali isiingilie kati? maamuz ya selikali ni mazur na yana tija kwa baadae wala sio siasa kama kuna sababu maalum acha haki itendeke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.