Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie...
uvccm nw mbafanya kazi..
nakumbuka enzi zile za jk ccm ilikuwa ikishambuliwa saaana mitandaon bila ya majibu hata km story ni za uongo kulikuwa hakuna wa kupinga, ila sasa hivi ukigusa tu serikali km nyuki unavamiwa unapingwa hata km story ni ya kweli utapingwa. hongern sana siasa ndo inavyotaka
Hbr za pililkapilika wana jf
leo ningependa kushare madaktari bingwa wa watoto kutokana na uzoefu kwa kutibiwa au kusikia
kwa upande wangu daktari namba 1 nikikwama kabisaa kwny hosptal za kawaida huwa naenda posta (dsm) hosp ya "dar group " dr anaitwa hasanal
mnaweza mkatupia wenu
Kwakweli kama kuna vitu vilivyonichosha mwaka huu ni juu ya hii bodi ya uhasibu ....nikikumbuka hela yangu nilivyoipata Kwa shida na kusoma review classes Kwa tabu Leo mnashindwa kutoa matokeo kwakweli hata mkitoa siyataki tena hayo matokeo tokea December mpaka Leo tunaelekea mwezi wa nne kweli...
Hbr wana jf
Kuna tatizo la mtu ukiwa unaenda tibiwa na ukawa unatumia kadi ya bima ya Afya kusainishwa karatasi bila ya kuandikiwa gharama zinazokukabili au huduma ulizofanyiwa
Huwa najiuliza vipi wakiniandikia nitumia mililion wakati nimetumia elfu 10 ?vp nikiandikiwa nimefanya full bld...
Habari WanaJF,
Mara nyingi nikiwa naenda kwenye misghuliko huwa napita maeneo ya Msimbazi Centre pale huwa namuonaga mdada mmoja (mwendawazimu) asubuhi anakuwa amelala pembezoni mwa barabara.
Ni zaidi ya mwaka huwa namuona ona maeneo hayo sasa leo wakati nikipita njia nikamkuta yule mdada ana...
Si wanawake si wanaume kila anaetafuta mchumba lazima aweke kigezo cha ukirsto
Mabro na masister wakikristo ndoa kwenu imekuwa shida au yale magharama kuanzi kitchen party mpaka sendof yanawafanya mzikimbie ndoa.
Leo mida ya saa 4 asubuhi nilikuwa nimepaki gari manispaa ya temeke ,akaja mtu wa makamo kavaa kawaida sana akaniomba nauli ya kwenda kawe nikamjibu sina ,baada ya muda roho ikajistukia nikashuka nikamfuata nikampa elfu 2 zilikuwa buku buku akaenda nikapata hamu ya kutaka kujua kuwa ni mkweli au...
Hbr
Kuna mzee mmoja mtaani alikuwa mlevi sanaaaa ,alibahatika kupata mwanamke mpole ,mcheshi mkarimu saaana watu wengi mtaani walimpenda ,yule mdada alikuwa around 28 hazidi 32yrs
Mwanaume alikuwa na hela mno ila alikuwa mtu wa matumizi espicially pombe na wanawake ,nakumbuka kuna siku...
Kuna tabia ambayo sana sana hufanywa na kina dada ya kuazima watoto wadogo na kuwatumia Kwa ajili ya kuomba misaada. Mara nyingi hujifanya wamezalishwa na wametelekezwa.
Wiki hii kuna mama alipewa taarifa ya kuwa mwanae aliemwacha nyumbani na kwenda kazini amekutwa maeneo ya Mnazi Mmoja na...
Kuna mtoto mmoja alikuwa amekuja likizo kutokea iringa kaja Dar maeneo ya tandika Davis corner.Huku Dar ndipo wazazi wanaishi, tarehe 28 ya mwezi wa 12 2017 mida ya saa 4 usiku alikurupuka kama anaota akawa anatoka nje anakimbia kuna mpangaji mwenzao akatoka na kumkimbilia alipomkamata akawa...
Matokeo ya CPA kawaida huwa yanatoka kabla ya xmas ambapo January inapoanza watu wanakuwa wanaanza maandilizi ya kusoma kwa ajili ya masomo yajayo ila awamu hii imekuwa tofauti mpaka sasa matokeo hayajatoka na hayajulikani yatatoka, hivyo kupelekea wanafunzi kutojielewa kwa kuwa walimu washaanza...
Hbr Wana jf
Mimi nakereka kupokea meseji kila siku za tatu mzuka na biko ,hivi hakuna namna ya kuziblock ??
Asubuhi tu meseji mchana meseji yaani Kwa kweli nakereka nikifungua txt nakukuta ni hayo madude
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na shida kubwa ya wafanyakazi wa ndani tofauti na jamani. Tatizo hili limepelekea kuzuka kwa matapeli wanaojifanya kuwa mawakala wa wafanyakazi wa kuwatoa madada mikoani.
Hawa mawakala wanakuwa kweli wana mabinti wametoa vijijini au wanakuwa wa hapa hapa mjini...
Habari za jioni ,katika miaka yooote iliopita kwa mtazamo wangu huu ndio mwaka ambao matatizo ya kiutawala kila mtu anayashudia mwenyewe hamna haja ya kuhadithiwa kwahyo ilikuwa rahisi sana kwa upinzani kujiimarisha kupitia mapungufu yaliyopo
Lakusikitisha kuwa hiki ndio kipindi ambacho upinzani...
Mwaka imeshuhudiwa idadi kubwa ya wachaga wamerudisha mpira kwa kipa yaani wamerudi kwao
Inadaiwa kuwa zile zama zao za kuishi kama wafalme kutikiswa hivyo kuamua kurudi kwao kujipanga upya kwa namna mbali wenye kutambika ,wenye kushtaki kwa vibibi wenye kupanga mikakati kabambe juu ya 2020...
Nchi nyingi kesho ni mapumziko ya mechi za mpira kupisha na kusheherekea Xmas isipokuwa nchi kama za misri saudia na Israel
Je wao kwao hii sio sikukuu? Au ndo inasheherekewa Kwa kuangalia game
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.