Sahihi.
Wakati wa usiku unapokaribia kupishana na mtu ambaye bado hujaweza kumtambua. Unatakiwa kutoa salamu hiyo "Usiku?" hii maana yake ni "Shari?"
Kama ni amani imetawala unatakiwa kumjibu "Mchana"
Kama ni shari imetawala unatakiwa kumjibu "Usiku"
Siyo Moshi.
Siyo Roketi.
Huo ni msuguano wa ndege na hewa ya huko ambako ni mbali sana. Hali ya hewa ya huko ni tofauti na huku chini zinakopita hizi ndege zingine ambako Oxygen ipo nyingi huku
Survey. Zaidi ya kuonyesha Water Table ilipo. Je ina uwezo wa kuonyesha Salinity ya Maji?..
Ili mteja asipate hasara ya kuchimba na kupata maji yasiyofaa.
Samahani kama kuna atakua ashauliza hili na kujibiwa.Sijapitia comments zote
Hili la 'kuongeza muda' si tuhuma mpya toka Upinzani kwenda kwa Raisi wa JMT.
Hata Jakaya alishazushiwagwa. Saa hii yuko Msoga.
Naungana na Msimamo wa Kiranga.
Angalau mzungu kasema. Tutaamini sasa kwamba Wasimamizi hawakutolewa ndani. Kwa maana walishuhudia upigaji,uhesabuji na ubandikaji matokeo.
Sasa ni jukumu la wanaopinga matokeo kutuletea Data zao za kituo hadi kituo ili tufahamu tofauti iliyokuwepo ili tuwaulize wasimamizi kama wanayatambua au...
Father(Yemo): Are you ready Eko?
Eko(Yemo Brother): Yes, I am ready
Eko: I ask for no forgiveness father, for I have not sinned
I have only done what I need to do to survive.
A small boy once asked me if I was a bad man
If I could answer him now, I will tell him that, when I was a young boy I...
I was 23 years old, when Americans came to my country
I was a good man, I was a soldier
And when they left!!
I was something different, for the next six years
I did things I wish I could erase from my memory
Things I never told myself to be capable of.
But I did come to learn this, there was a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.