Wakuu kwema?
Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa.
Jamaa yake saivi amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau...
Wakuu hivi kwanini Tanzania hatunaga anuani za uhakika za miji yetu na majumbani mwetu zaidi ya namba za simu tu?
Hivi Serikali haioni kama inatucheleweshea maendeleo na kutupa ugumu wa kufanya biashara kimataifa?
Wanatuzidi hadi Uganda jamani. Kama nchi ifike kipindi tubadilike, kununua kitu...
wakuu kwema? jamani nahitaji ushauri juu ya hizi ndinga, nataka kuichukua,mwenye uzoefu naomba anipe ushauri anazionaje? itanifaa kwa misele ya mjini na vijijini?naihitaji as a family car...but nataka niwe na uhakika wa safari incase natakiwa nisafiri sio mawazo tena yawe lukuki..
wakuu wataalamu wa simu,nina tatizo,kuna simu hapa inakataa ku'reboot na sijaju tatizo ni nini,naambatanisha picha sijui kama zitaeleweka,lengo ni kupta msaada wa namna ya kulitatua hili tatizo,asanteni..
Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya...
Hivi kwanini sisi wa uswahilini tukitembelewa na mgeni lazima tuanze kuhangaika kumnunulia mgeni soda?
ni nani aliuanzisha huu utaratibu?kwani wageni nao huwaga hawawezi kunywa hata maji tu?
Wakuu poleni na pirika za kutwa nzima...binti yangu karudi nyumbani baada ya kumaliza masomo yake ya kidato cha sita,leo kuna swali kaniuliza sijamjibu hadi sasa hivi nakosa cha kumjibu,naombeni kwa mwenye uzoefu tubadilishane mawazo nione ingekuwa ndio kaulizwa yeye angemjibu nini mwanae...
Wakuu hii imekaaje,sitosema nilipo maana inawezekana mhusika akawa humu,
Kisa ni kwamba kuna dada mmoja wa kitaa,huwaga ananata sana kama super glue,naye yamemkuta,kuna mwana alimuotea akaahidi kumuoa,akafuata taratibu zote kuelekea kwenye ndoa,ila siku ya sendoff mwana hakutokea,ikawa aibu...
Samahani ndugu zanguni,kuna swala linanitatiza kidogo hapa nataka nipate ilmu na ufahamu zaidi ,kuna rafiki yangu yeye ni muislamu,ana biashara zake huwa anazifanya,sasa leo katika status ya whatsapp kapost tangazo la biashara ya kitimoto,anatangaza soko la mshkaji wake kuwa anauza kitimoto...
Jamani tujikumbushe kwa mliowahi kusafiri kwa treni,hizi treni zetu za dunia ya tatu..mimi ilikuwa natoka DODOMA kuelekea MWANZA,baada ya kukamilisha taratibu za tiketi ambayo nilikata wiki mbili kabla ya safari,nikaanza kuwa na mashaka na muda ulivyokuwa mrefu tangu nikate tiketi hadi...
Kufuatia ushindi wa TAIFA STARS dhidi ya UGANDA kwenye hii michuano ya kufuzu kombe la mataifa afrika,kumezua tafrani mikoani baada ya mkuu wa mkoa wa DAR kuahidi kuwa endapo TANZANIA tutaifunga UGANDA basi gambe litakuwa nusu bei,leo huku mikoani wadau roho inawauma sana kulipa bei mara mbili...
Wakuu nimegongwa na nge,wataalamu naomba mnisaidie tiba,natakiwa nifanyaje,maumivu ni makali sana na hadi saiv ishapita nusu saa bado sielewi natakiwa nifanyaje,msaada wenu tafadhali...
Hivi hawa watu wenye vigugumizi siku hizi wamepotelea wapi,maana kipindi cha nyuma ilikuwa kama fashion,au kuna kitu huwa kinasababisha watu wa aina ile kuwepo,siku hizi wamekuwa adimu sana watu wa namna hiyo..
Mheshimu mwanamke wako kwa sababu sisi wote tunamtaka(tunamtamani) na sisi ni bora zaidi kuliko wewe,lakini alikuchagua wewe,sasa siku akichoka..ndio akili itakukaa sawa!
Ukitaka kujua watu wanapenda tu mafanikio ndio kipindi kama hiki, kila MTU anaulizia matokeo lakini kipindi cha ada hakuna aliye kuwa anauliza jamani tuwe wastarabu kama hujawahi kuulizia ada usiulize matokeo!
Dah,leo katika pirika zangu mijini humo, nimekutana na couple moja wanajidai sana,utadhani wamejua kuwa kwa sasa mwenzangu yupo mbali,mwana kavimba mbaya mpenzi wangu popote ulipo kiukweli nakukumbuka sana,najua tupo wengi humu,ambao tunapitia hii hali,njooni hapa tujifariji kwa kuwaonea wivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.