Nashukuru sana mkuu mshana jr kwa kuweka uzi humu jamvini hakika mwanaume yeyote ambae amezaliwa kwenye maadili angepata nafasi mwanaume mwenzako akiomba umgegede nafikiri siku ingeharibika sana..kiukweli kesho yake nilikosa raha kila nikiwaza jamaa alivyokomalia akitaka nimgegede..uzuri mshana...
wapelekeni watoto shule kusoma sio watu wanapiga kelele mfano mimi kipindi hicho nilisoma seminary nikaweka kijiti cha hatari. kitaa nilimaliza na washikaj ambao waislam matokeo hayakuwa poa wakaanza kuongea kuwa seminary tunapendelewa.nilikataa kwenda loyola kipindi hicho ipo vizuri nikasema...
Dah...wabongo sisi majanga kwahiyo ukiwa shabiki wa simba ndio unapewa nafasi ya DG ngoja na mimi nijiandae kupewa Umanager maana na mimi shabiki wa simba
Mkuu acha kuingiza mtu ambae hayupo kwenye mjadala huyo ni katibu mkuu toka zama za jakaya mpaka zama hizi magori hana uwezo kumkaripia wakati yeye yupo nssf acha kuchafua watu wewe mbwea
Mkuu mbona unatoka povu sana mshikaji ameandika kistaarabu tena vizuri tu lakini unamwambia udini unamsumbua...poa mkuu sio mbaya kama kimemo chako kimechelewa atakufanyia mpango kukutafutia scholarship havard ukapige masters kabisa
Jaribu kujiuliza kwani wewe umezaliwa nae? Yeye na Familia yako kipi bora? Ukiumwa kati yake na wazazi wako nani ataumia? Ukijibu hayo nitafute nikupe mbinu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.