Hawa ni waongo jamani nimefanya salio nmb klink nimekatwa zaidi ya 15000 c sawa hata kidogo jamani mtu unahisi unaeahisisha maisha Kumbe ndio unajididimiza
Sheria hiyo hiyo inasema mfanya kazi apandishwe daraja kila baada ya miaka 3,watu wanamiaka sita mitano hawajapandishwa madaraja hawana barua za malalamiko kuhusu utendaji wao jamaa limefumba macho,increments kila mwaka IPO kwenye sheria hazionekani mwaka wa tatu sasa ila za kumgandamiza mfanya...
Utajiri upi arifu me naona taabu tu maisha haya kila Leo afadhali ya Jana!Mbaya zaidi ata afueni ya kulalamika, kukosoa,hamna ukisubutu kukutwa unageuzwa mbwa koko kwa mateke na visu na risasi za moto zinazopigwa hewani zinakata kona kuufumua ubongo wa MTU alieko ardhini.
Mxiuuuu jeshi la polisi limeoza na hii ni kwasababu uvunjifu wa sheria umeanzia kwa executive system so hamna wa kumfunga mwenzie kengele na awamu hii ukivunja sheria kama police unalindwa na kupewa cheo!weledi wa kazi gani sasa
Duh aombe msamaha ili aachiwe aishi???!me naona bora aombe ukimbizi au arekodi clip ya ukweli wote airushe mtandaoni wamuue tukiwa na ushahidi ,karma will make dem pay!!Mungu ni wetu sote
Sasa unachoogopa ni kitu gani adi unajizalilisha kiasi hichi hivi mbona watu kibao hawajaajiriwa na wanaishi,huku tunakoelekea tutakua taifa LA majuha kiss ujuha wa MTU mmoja
Wana watanzania wakufikirika vichwani na matumboni mwao ndo wanaowapigania kina Akwilina na sisi wote wanotuona ni vinyago tu kwao ndo maana ujasiri wa kuita watu vinyago wanao
Mungu ikumbuke Tanzania pia yote haya ni kwaajili kijana kaamua kuongea against powerful people tulowapa ikulu na nchi yetu waiongoze!! Kijana akafanywe mfano apotezwe wat about his mother?!wat if anawadogo zake wanamtegemea amalize chuo asaidie japo ada yao?!!!wat about his mother?
Mara nyingi mtoto akishiba anaonyesha dalili kua makini kuzitazama alafu kwakua mtoto wakouzito ni mkubwa unaweza kumkadiria chakula kidogo akilia unampa matunda kama papai me ndo nlianza nalo,usiogope wewe ni mama your judgement is exactly what your child requires! Mungu amekupa uwezo mkubwa...
Uji sio lazima swty cha muhimu mtoto apate balanced meal hizo veges unapika na kipande cha samaki au nyama unablend pamoja unakua uji mzuri tu wenye virutubisho vyote,kunenepa ni wanga unakua mwingi na kumlazimisha mtoto kula chakula kingi zaidi ya mahitaji yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.