Naomba Muongozo hapa.
Niliagiza mzigo tangia mwezi wa nane lakini mpaka saiz sijaupokea posta.
Zilipofika siku 48 seller aliextend purhase protection saiz zimebaki siku 29 baada ya kuongeza hiyo purchase protection.
Tracking inasomeka hivo.
Je kuna uwezekano wa kupokea huo mzigo au ndo nimepigwa?
Ni kweli sababu ni nyingi ila kila mtu anasababu yake kucheat ikiwemo hiyo niliitaja.
Wengine ni ktk kubadilisha ladha tu,ila wengine wanasababu za msingi.
Mengine sio mapungufu no kutojielewa akishaolewa anajua amemaliza kazi,kuna wanawake wanawapangia waume zao ratiba.
Hapo mwanaume mwenye akili hawezi kuhangaika na wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.