Daah usahili mwaka huu unaweza kuchelewa cz zipo op 3 na hazijui hatima yake so kuongeza watu wengine ni changamoto kubwa saana maana hawa waliopo pia wanamatarajio makubwa asa ukiongeza op ingine shida ipo
Simiyu zoez limeisha nimeongea na moja ya rafiki angu amepangiwa kigoma na ukishamaliza kila kitu wanakupa fomu na wanakuambia kambi gani ya kureport hiyo tar 4-9dec
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.