Wazazi wake walitoroka vita DRC mwaka 1998 akiwa na miaka 6.
Hivyo maisha yake yote ni Hapa TZ, japo kwa sheria za uraia yeye hakuwa raia kwa sababu wazazi wake ni waCongo.
Haya mambo yako Sana mikoa ya pembezoni mwa nchi.
Nilivuta umeme kwa nyumba kubwa ya mbele. Nguzo iliwekwa pembezoni mwa kiwanja. Jirani aliye nyumba yangu alivuta umeme wakamwekea nguzo.
Lakini ili kukwepa mti ulio kwa jirani ,nyaya wakazipitisha katikati ya kiwanja juu ya msingi. Sasa msingi huo nimeujenga,lakini siwezi kuezeka Bila...
Ni app ya kikristo.Ndani ya app hii kuna biblia katika lugha mbali mbali,Kuna video zinazohusu biblia na encyclopepia ya biblia. Hakuna kuregister wala kulog in.
Putin amekuwa rais anayekandamiza raia wake.
mfano mmoja ni pale alipowapiga marufuku Mashahidi wa Yehova,eti ni magaidi! Watu ambao hata hawajui kushika bunduki!
Russian police raid Jehovah's Witnesses' homes - BBC News
HUYU NDIYE MUNGU? AKI LEO NAKUFA MAANA BIBLIA INASEMA "Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na aendelee kuishi.” Kutoka 33:20
Bye bye JamiiForums leo ndo hivyo tena nakufa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.