Anaweza sana. Mimi nilisoma Post Graduate Diploma in Business Administration pale IFM. Tulikuwa watatu na wote tulifanya vizuri sana. Wawili tulikuwa na ADVANCED DIPLOMA OF Mech. Engineering na mwezetu alikuwa na Advanced Diploma ya Telecommunication. Wote kutoka DIT. Sasa hivi wengine...
Nchi hii hubadilisha mambo mara kwa mara. Sasa inaitwa diploma. Siku hizi hata Elimu ya Advanced Diploma haipo. Siku hizi hata diploma ina viwango vyake kulingana na Nacte.
Mheshimiwa, nakushukuru kwa kuliona hilo. Sasa tumeishazuiwa njia. Ila gereza liliikuta njia. kwa kawaida ukikuta njia, inabidi watu uwape nyingine kabla ya kufunga ya mwanzo. Nadhani tujitahidi kutengeneza pale kwenye vilima kwani vinateleza wakati wa mvua. Bajaj zetu itabidi kuziacha Segerea...
Asante bwana. Wafugaji tupo. Nami huwa nauona ugonjwa huo. Ila nadhani ukitumia dawa nzuri mwanzoni huwa haupatikani. Jitahidi kupata ushauri wa daktari.
Tuendelee kuwasiliana kwa jonasmpango@yahoo.co.uk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.