Hivi kwanini Mbowe kushindwa kwenye uenyekiti ndio itafsiriwe kuwa demokrasia, lakini yeye kukubalika kuwa mwenyekiti inatafsiriwa hakuna demokrasia?
Kwa upande wangu mimi, naona kinachomponza Sumaye na watu wa aina yake ni yale yaliyofanywa na Lowasa. Unaweza vipi kumuamini mtu kama Sumaye...
Kituko cha mwaka hicho Mkuu, assists zaidi ya 200 eti ni chache
Nikimwambia anitajie wachezaji wenye assist zaidi ya 200 angalau 10 tu, sijui kama atawapata
Huyo Anelka au hao wengine uliowataja wamecheza ligi nyingi, je wamechukua makombe mangapi, je wamezisaidia timu zao kuchukua makombe ya kutosha?
Hata Samata kacheza ligi nyingi kuliko Messi lakini Sijasema yeye ni bora kuliko Messi
Nimepata mashaka juu uelewa wako kuhusu soka
Unasema kwamba Diego Maradona hajacheza nje ya Argentina!!!! Hujui kwamba Maradona ni legend wa Napoli? Au Napoli ipo ligi moja na Bocca Juniour na River Plate? Huyo Pele mwenyewe kamalizia soka lake Marekani. Naona wewe ndio umemezeshwa story za...
Okay proffesor, kumbe assist 219 ni chache
Kumbe magoli 672 ni mengi kuliko 700
Ungesoma na kuelewa nilichoandika usingekuja na hii taarabu yako [emoji41][emoji41]
Messi, one team player. Never prove himself outside Barca
Unaweza kusema takwimu za goal per match zinambeba Messi
Lakini je, kucheza mechi nyingi katika kiwango cha juu, hiyo pekee sio sifa ya ziada? Je Messi anaweza kucheza kwa kiwango cha Dunia atakapokuwa ana miaka 34 kama anavyofanya mnyama CR700 kwa sasa?
Hilo swali la juu wote hatuwezi...
Siku ya jana Ronaldo, The Greates Football Player of all times amefunga goli la 700 katika maisha yake ya soka. Idadi hiyo ya magoli inajumuisha magoli ya mechi alizocheza kwa ngazi ya klabu na timu yake ya taifa.
Mchezaji huyo bora mara 5 wa Dunia amezidi kudhihirisha kuwa ni mchezaji bora...
Inaonekana umekuja kuomba ushauri ukiwa tayari na majibu yako
Nakazia, muonekano wa nje una angaza kilichomo ndani
Mwisho wa siku, wewe ndio muamuzi wa mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.