Ya nini kupiga mzunguko wa kichaka (hit around the bush)?
Waliyofanya ccm kwenye chaguzi za meya Arusha na kwingineko, ni kivuli tu cha yale waliyofanya mwezi november mwaka jana.
Nimesoma comments kibao sana hapa JF kuhusu mgomo wa wanafunzi wa UDOM. Kuna theme moja nimeiona inashika moto hapa JF kuwa wanafunzi wa UDOM ni wana CCM. You know what, hata mimi nilikuwa nadhania hivyo just few months ago.
Kulikuwa na habari kibao kuhusu wana UDOM wakienda kukutana na...
Kabla wapambe hamjaanza kumsakama SD kwa hii thread, naomba tu mfunge macho yenu, mkuze fikra zenu, mchore picha mawinguni, muuhisi mdhanio wa upepo mwanana wa bahari ukivuma tokea pwani ya Tanga, mnuse harufu nzuri ya mdalasini na grrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaph....
.......ghafla.......Sauti ya...
Kama inavyojulikana kote, CHADEMA na Dr. Slaa (PhD) walishinda katika mikoa ya ziwa, kaskazini, kusini na magharibi. Walileta upinzani mkubwa sana kwenye mikoa ya kati na wakamalizia kwa ushindi wa kutosha kwenye mkoa wa Dar es salaam.
NEC ya CCM ikaamua kuchelewesha kutangaza matokeo ya...
Kulingana na mahojiano yanayoendelea live sasa hivi ITV kati ya Masako na Joshua Joel kutoka sumbawanga (Rukwa), kuna jambo nimelisikia ambalo limenitatiza sana. According to Joshua, matokeo hayajatangazwa kwa vile masanduku ya kura yamechelewa kuletwa kwenye kituo cha kuhesabia kura.
Hii...
Nimeendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi Tanzania. So far, kwa yale ambayo yameripotiwa, CHADEMA imefanya (kuongoza) katika mikoa ya ziwa, kaskazini na nyanda za juu kusini. Ukifuatilia sensa ya karibuni, hii mikoa (ukiacha mkoa wa Dar) ndio ina watu wengi Tanzania.
Mkoa wa Dar es salaam...
Wengi hapa tumesoma yaliyotokea dodoma kwenye mkutano wa bilal. Jamaa alikosa watu kabisa ikabidi malori yatumike kutafuta watu sehemu zingine na kuwaleta kwenye mkutano (kwa mafungu).
Hawa jamaa kwa kweli pesa wanazo, wamejaza mabango yote Tanzania, waandishi wa habari wote wanalipwa laki...
Kulikuwa na sababu kubwa kabisa kwa TBC kukatisha matangazo ya uzinduzi wa kampeni ya chadema. Sababu hiyo ni kumlinda mgombea wa uraisi kwa tiketi ya ccm - Mheshimiwa Kikwete.
Kwa waliomsikiliza Tundu Lissu, Kikwete alisaini mkataba wa kifisadi wa madini wa bulyanhulu (sijui kama alipata 10...
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu.
Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa bilioni 4+ miaka ya mwisho ya utawala wa Mwinyi, Mkapa alitumia karibu bilioni 10 kuikarabati.
Kikwete...
Yes,
yeye Malaria Sugu, na pacha wake Tumaini, na binamu yake Kanda2.
Kwa kadri ambavyo mods wanayakubali yale wanayobandika hapa na kuacha yaendelee kukaa kwa miezi na miaka kadhaa (kitu ambacho ni kizuri ukichukulia uhuru wa maoni unaoruhusiwa na JF), ikubaliwe kuwa hiyo format...
Awali - kuna habari kuwa mwandishi wa habari wa Tarime ambaye amehusika sana kwenye kutoa habari za uchafuzi wa mazingira uliofanywa na kampuni za madini tarime amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo (moyo umepasuka).
Update:
Kuna taarifa nilizopata muda mfupi uliopita kuwa familia ya...
Ladies and Gentlemen, the president of URT - Hon Jakaya Kikwete.
Few minutes later.......
"Is it my eyes or your president appears to have more than five undershirts on?", asked Julie, a special assistant to the state department. She has been asking so many questions today. "I don't know"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.