Uzazi wa mpango,hormones imbalance kunenepa baada ya kujifingua.. hizo zote zinaweza kua sababu mkuu badala ya kurusha lawama tu jaribu kua muelewa na mtafute suluhu, achana na hao viwambaza walokaza anagongwa nnje.
Browser habari za kubonyeza next na ukitaka kurudi mwanzo lazima urud had page ya kwanza vinanikwaza mnoo.
Halafu hata mpangilio wake haunivutii hata robo naona siku app ikifa na mimi ndo utakua mwsho wa kutumia jf
Hayawezi kupita, tuache ubinafsi tufikirie vizazi vijavyo tuamke tuwapambanie.
Hivi walopigania uhuru wangekua waoga waoga na kusema yatapita sisi saivi tungekua tunaishije!?
Ifike sehem tukatae huu ushenzi wa wachache wao watoto zao wanawakimbiza nnje na kurithishana vitengo, watoto wetu ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.