Habarini wadau,
Kama inavyojieleza hapo juu, natafuta hiyo kitu (virgin hair fertilizer) mwenye kujua zinapatikana wapi tafadhali anijuze.
Natanguliza shukrani
Habari zenu wakuu,
Naomba kupata ufafanuzi, hivi watu wa PSRS wanaajiri watumishi wako makazini tayari? Maana katika matangazo yao wanaandika watumishi waloajiriwa Serikali wapitishe maombi yao kwa waajiri wao.
Nimefanya hivyo mara kadhaa lakini sijawahi itwa kwa interview hata mara moja...
Habari wana Jf, nina kijibustani changu hapa nyumbani nimepanda mboga chache, sasa nimegundua ni zaidi ya mara mbili au tatu, kila nikimwaga mbegu za mchicha sisimizi wanashambulia mara tu mchicha ukianza kuota na hivyo hauendelei. Nitumie mbinu gani au dawa gani kuondoa sisimizi hawa?
Asanteni.
Habarini waungwana.
Nisaidieni ktk hili, kwa wale watumiaji wa artificial contraceptives, je kuna ukweli wowote kuwa kutumia loop, (kitanzi) kuna-limit sex styles? Yaani unatumia style moja tu? (Ile iliyozoeleka)
Habarini waungwana, wiki iliyopita nilisoma habari za mwanamama mmoja mjasiriamali anayeuza urembo asilia kwa ajili ya nywele, ngozi na vinginevyo. Bahati mbaya gazeti silioni hapa hata jina silikumbuki.
Habari hii ilieleza kuwa mwanamama huyu anapatikana magomeni japo haikusema ni magomeni...
Habarin waungwana, nna computer yangu aina ya Hp, ilikufa harddisk tukaweka nyingine. Tatito ni kwamba tangu iwekwe hiyo hard disk ingine imekuwa hain sauti. Nimejaribu nimeshindwa. Nimeomba msaada kwa watu nao wameshindwa.
Jingine ni screen brightness ina mwanga mkali sana.Nimejaribu kutafuta...
Habari zenu wana jf, mmekuwa msaada kwangu kwa mengi sana. Sasa leo tena unisaidie kwa hili, hivi kunenepa mikono zaidi au miguu nini kisababishi? Na nini suluhisho lake? Hasa mikono wadau. Nimeona wadada wengi wana maumbile hayo.
Utamuona ana umbo la kawaida sehemu zingine lkn mikono ni zaidi...
Habari wana jf! Mimi ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili katika lugha, katika chuo kimojawapo nchini. Nafanya utafiti mdogo katika "Maasai Nominal Morphology"( kama hujui hii terminology usihangaike sana) wanaoelewa watanisaidia. Tafadhali mwenye fununu na jambo hili anipe abc, utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.