Professor Mwajabu alinifundisha course ya special needs education, sijui PE ngapi nishasahau, alikuwa akiwatolea sana mifano wanawe hawa ktk lecture zake. Alinuia kusoma course za special needs kwa sababu ya wanae hawa walokuwa na mahitaji maalum
Em jaribu kutengeneza mwenyewe nyumbani. Kama hujui angalia tutorials za you tube jinsi ya kutengeneza mafuta ya nazi. Ni rahisi sana
Kuna/saga nazi zako km tatu hivi
Chuja vizuri
Acha ilale kwa fridge usiku wote
Asubuhi mafuta yatakuwa yamejitenga juu na maji chini
Engua mafuta hayo na chemsha...
SShule za vijijini mtoto kuja bila viatu kawaida sana.
Madaftari kubebwa kwenye plastic bags, wasio nazo hasa drs la kwanza na la pili walikuwa wanaweka mgongoni baada ya kuchomekea shati/blouse
Tumebeba sana nyasi za kuezekea vyoo almaarufu kama 'lyundu'
Tumebeba sana samadi almaarufu kama...
Mara nyingi Mungu huacha tuhangaike kwa uwezo wetu wote bila mafanikio, si kwamba hajui au hatuoni, ila ili yeye ajitwalie Utukufu na siyo sisi! Pale jitihada zetu zote kama binadamu zinapokwama ndipo yeye kiurahisi tu hufungua njia. Naamini hivi karibuni utatupa ushuhuda. Wengine mchango wetu...
Pole sana mdogo wangu, Mungu yu-upande wako hatakuacha. Zidi kumuomba na kumtumaini. Nafurahi kwamba licha ya changamoto nyingi unazopitia, bado ndoto yako haijazima. Na kwa kweli, lolote lisizimishe ndoto yako. Your son will shine very soon.
Yusufu alikuwa na ndoto, alipowasimulia ndugu zake...
Sioni kusudi lao kwa kweli, unless wahusika wangepelekwa shule za mbali kwenye upungufu kweli wa walimu. Yaani wanazungushwa ndani ya kata hiyo hiyo, mradi ni shule ya msingi. Not fair kwa kweli. Na huko wanakopelekwa tayari kimejaa walimu. Wanasolve nini Jamani?
Kingine, mahali pengine hadi...
Hawajalazimishwa kunako huko, wengi wanapenda na hawataki kabisa kusikia sekondari. Kwa kuwa ngazi za mishahara ni zile zile kutegemeana na elimu na muda uloanza kazi. Sasa kuna haja gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.