nataka kutuma barua ila maelezo yote ya barua nimekwisha yaandika kwenye Microsoft word
sasa nimekwama kwenye kucompose e-mail apo kwenye mistari ya rangi nyekundu inafaa kuandika nini
Habari zenu
Nina maswali ambayo kwa uwezo wa fikra zangu nimeshindwa kuyapatia jibu ,nimeamua kuyaleta kwenu najua siwezi kukosa jibu, maswali yanahusiana na imani zaid
NOTE: usilete utani tupo apa kusaidiana
1:Kwa mujibu wa imani zetu tunafundishwa kwamba siku ya mwisho baada ya ukumu wenye...
Ng'ombe, akishatoa maziwa ya kulisha familia nzima, hurejea katika malisho yake taratibu. Lakini kuku, akishataga yai moja hupiga kelele ili kila mtu ajue. Je! Yai hilo alilotaga laweza kutosha hata kwa mlo wa mtu mmoja? Jibu ni hapana. Katika maisha kuna watu wa aina 2 kuna wale wanaofanana na...
Habari zenu
kuna swali huwa najiuliza ila bado sijapata jibu,nimeamua kuwashirikisha huwenda mtanisaidia kupata jibu ningependa hasa kupata jibu kutoka kwa wakina dada kwani wao ndio wahusika wakuu ila pia si mbaya ata wakina kaka wenye experience wakinijibu.
swali: hivi kwanini wadada wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.