1. Ishi kwa kumtegemea Mungu
2. Weka akiba ya fedha bank
3. Tafuta mpenz mmoja sahihi, atakaekuwa mshaur kwako
4. Anza maisha ya kujitegemea na sio kuishi kwa wazazi au marafiki
5. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo...
habar wanasheria.nina kesi mahakaman nimedhurumiwa nyumba,wakil wangu aliiomba mahakama kuwa wakil wa upande wa pili(means walionidhuru) aondolewe na jaj alikubal ombi lile,so yule wakil alikata rufaa ili aendelee kucmamia hii kesi.toka alivyokata rufaa ni mwaka umepta kesi haijacklzwa.naomba...
nilikuwa na mpenz tuliyedumu miaka sita,bahat nzur nlpata ujauzito na nikazaa salama,isue inakuja baada ya kuzaa nilifaham kuwa jamaa kuna mwanamke kamzalsha pia na watoto wetu wamepishana miez 2.niliamua kuachana nae na sasa mtoto anamiaka mitatu na hajawah kumhudumia,cha ajab mwanamke wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.