Kikwete is a cleanse person by heart, soul and ethics he is going to be the best presdent ever for thise nation . This is the oder from the higher power let every body funga domo lake juu ya mumkashifu muheshimiwa rais kama wakritu fuaata biblia waisilam fata msaafu wapagani fuata katiba...
ndio maana tanzania for change dot gov inasema mahesabu badala ya siasa mfano mradi wetu mama wa maths for all ni kufundisha hisabati kwa level zoto ili tuwe na walimu wengi wa maths nakupata kazi kila pembe ya dunia
Hii ni dhambi kubwa sana sijui msamaha wake utapatikana vipi. Yaani watu wanakufa njaa, halafu wengine wanaendeshea mitambo na vyakula. Hii ni kufuru. Labda wahakikishe kila mtu anasaza ndio wafanye miradi hiyo. Mradi fikirivu utakaoonekana umeenda shule nionavyo mimi ni kwamba watumie...
Huyu jaji munuo ni jaji mbarikiwa sana sijawahi kusikia mashauri yake lakini uwamuzi huu ni wa haki iliyotukuka na nirahisi mno. Baraka na laana ni vitu rahisi na vya bure ushauri wa gharama kwa yeyote ' chunga sana kiburi chako hasa cha mali bahati mbaya mali uliyoipata isivyo halali...
Utamaduni wetu umekuzwa kwa aina ya misemo mingi yenye malengo kama ifuatavyo.
Kutiana moyo.
Haba na haba hujaza kibaba,
maonyo
haraka haraka haina baraka , asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
matumaini
mpanda ngazi hushuka
masharti
mtaka cha uvunguni sharti ainame...
Everyone has a big dream of becoming a sucssesfull person in life. Ways and means differ from one person to another mostly influenced by locality. As i am concern for poor people country like us our fortune relay on weither our parents has been having a big post in the gov or private sector. In...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.