Sometimes you wonder if our leaders have eyes or talk to their conterparts when they visit other countries. There is so much to learn from others and emulate back home, lakini tunabaki nyuma tu. Tunaendeleza wizi tu. Sijui ni laana gani tumeachiwa. And the electorates tunaendelea kuwapa...
Wana JK kuna mtu ameuliza namna ya kutoa maji yaliyoingia sikioni wakati wa kuogelea. Simple, tia maji kwenye sikio (yes tia maji) halafu inama upande wa hilo sikio na maji yote yataka. Najua kutakuwa na woga kufanya hivyo lakini trust me, yatatoka kirahiisi kabisa
I know Zadoc to be a man of very good quality products. How can anything related to him be of such poor quality. Na hao inspectors na ma engineers wa City, how could they accept such poor quality product. It really leaves one guessing there could be a hand of Ufisadi somewhere. Hey...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.