Ni kweli kabisa hawa jamaaa inabidi wajipange na hali ya sasa.Kutokana na ukosefu wa ajira baadhi ya wamasai wamejiingiza kwenye mtandao wa wizi wa magari.kuna jirani yangu alikua na gari mbili rav 4 kwa ajili yake na Noah kwa ajili ya wife.Akamua kuajiri wamasai wamlindie nyumba yake.wamasai...
Maeneo ya city centre hasa ocean road ukipita usiku ni hatari sana.Uwe kwa miguu au kwa gari ni hatari sana.Kinachoshangaza ni kwamba kituo cha polisi kipo jirani lakini hawa waharifu hata hawashughulikiwi.Kwa nini kusiwe na doria maeneo yote hatari??Na huu uporaji wa kutumia magari upo sana...
JF imenisaidia kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji na kupelekea kuongeza kipato na kitoweo cha nyumbani.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hubu tupia Jina na mahali alipo mkaanga chips na kuku maarufu jijini Dar es salaam.
1.Facebook -Msasani
2.American chips - Kinondoni
3.
4.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nenda Tabora,kwani ni karibu na mikoa ya jirani.Namaanisha ukitaka kwenda Shinyanga, Mwanza au singida.Hata Dar ni safari ya siku moja.Kigoma tatizo umbali,ukiingia umeingia.Ukiwa na safari ya Dar ni siku mbili.Mwanza siku nzima.Kama ndio unasafiri kwa basi ndio utaipata fresh,tope kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.