Unajuaje kama ni mbinu tu wametumia ili wawapoteze waliokuwa wanaomtafuta wamuuwe? Tuseme kafa kweli, je kifo chake kimefuta kile kibonzo akilini mwa watu?
Influenza,
Hawa jamaa wameshajiona kwamba wao ni Untouchables. Kiasi kwamba mengine yameiba mpaka matrillion, lakini bado yapo uraiani, sababu tu ni wanachama wakati kuna wanaoshukiwa ambao wameshapewa kesi za uhujumu na wapo ndani mpaka leo, kila siku, uchunguzi haujakamilika.
Kutokana na...
Niliposoma kichwa cha habari, nikakimbilia kufungua nione ni wafanyabiashara gani hao! Kumbe ni Wachuuzi! Kila kitu kinafanyiwa kiki kwa sasa kwasababu, jamaa hawana la maana la kuonyesha wanalolifanya. Kweli tumekwisha!
Utaongelea uchumi upi wakati mtu anaogopa hata akienda shambani anaweza kutekwa. Bajeti ya kilimo ambao ndio uti wa mgongo ni asilimia 2%. Unazungumzia uchumi au uchimi?
Wakati wa kampeni tuliwaambia kwamba huyo bwana hafai, hawakutuelewa. Hata jamaa akawaona hawana akili, akawaambia atawapatia elimu bure mpaka form four maana alishaona kwamba kwa mwenye elimu japo ya Form Four hawezi kuwa bwege. Sasa hii ndio Elimu ya bure anayowagawia. Ikifika 2020, kila mtu...
Ukimtoa mwenyekigoda, kwa Umuhimu kwa chama anafuatia Daud Bashite. Ukigusa, umegusa chama! Ndio maana hata alipoenguliwa katika ugombea Umoja wa Vijana, alirudishwa kwa nguvu kwa upande mwingine.
Gusa uondoke wewe! Muulize jamaa yetu alitaka hata kuchapwa risasi kwa kutaka kumpinga! Chezeya...
Yule hakimu aliyetoa Uamuzi wa kwanza amesoma wapi? Au mwalimu wake ni huyu jamaa aliyepata demotion ambae kwa Uzuzu wake hata hatambui kwamba amepata demotion! Sasa kama mwalimu mwenyewe ndio yule, hajitambui, products zake zikoje?
Chinekeeee!!!!!
Mimi naona hiki kitengo kifutwe tu maana hakina maana. Kama akina Lissu wanakwenda kukamatwa bila hata kuripotiwa na mtu, iweje Bashite ambae anaonekana mpaka kwenye CCTV akiwa na askari wenye silaha, wawe na kizunguzungu?
CCM ya wenye vichwa ilikuwa zamani. Sasa hivi waliobaki mikia tumboni! Ngosha akikuhisi tu kwamba umempinga Bashite, basi kadi huna! Maana yake Ulaji huna! Na wengi wapo huko kama kichaka cha kuficha madhambi yao.
Bado unawasikilizaga hao? Hebu tune 93.7 Upate burudani Murua kutoka Efm. Pata raha kwa kuwasikiliza wachambuzi mahiri wa mambo pamoja na michezo bila ya kumsahau Daktari Panju ya Panjuwani, ni burudani tosha. Achana na redio zilizochoka.
Ishu sio kutokuwa na Vyeti, Ishu ni kwamba alivyo navyo amevipataje pataje? Usitake kuharibu hoja hapa. Hata angekuwa hajasoma haina shida, shida ni Uhalali wa Vyeti anavyovitumia. Watu wanamtaka alete vyeti kwa mtiririko unaoeleweka wa elimu ya Tanzania. Aanzje cha Darasa la Saba (kama kipo)...
Sio kile chama cha kufoji mambo ya elimu? Maana mungu wa mkoa kafoji jina liendane na cheti cha mtu. Mkubwa wake ndio tena mpaka thesis yake ya PhD one to one na ya mtu mwingine wa darasa hilo hilo. Inasemekana katika kudesa wamejikuta wote wamedesa ya mtu mmoja.
Unamfukuzaje Mtanzania asionekane katika moja ya mikoa ya nchi? Kwanini waamriwe kuondoka wakati wana uhuru wa kwenda na kukaa popote wanapopenda kama raia? Huu ni zaidi ya ....Uchwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.