Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe na angalau vyumba vinne vya kulala, iwe fully furnished, msaidizi wa kazi za Ndani ambae atalipwa na...
Nashukuru mkuu. Wengi wanadhani mahitaji yao yanafanana na kila mtu. Zamani desktop tulikuwa tunanunua kwa laki saba mpaka milioni, lakini uliza sasa,hata kwa laptop changes zinafika huko pia ingawa kuna brands ambazo huchukua muda kuwane/kuchuja lakini nazo hukumbwa na changes zitokanazo na...
Habari gani wakuu?
Kama kichwa kinavyojieleza,naomba alie na laptop mini isiyo na DVD drive au yoyote inayofanya kazi, ani PM. Offer yangu ni sh. Laki moja.
Asanteni na siku njema.
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane.
Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia mkataba na wafanyabiashara wa hizo biashara kama agent.
Kwa anaeuza vifaranga vya sato mikoa ya : Tanga...
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane.
Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia mkataba na wafanyabiashara wa hizo biashara kama agent.
Kwa anaeuza vifaranga vya sato mikoa ya : Tanga...
Jamani Kiwanja chenye ukubwa wa Square meters 1000 na hati kinauzwa Gongo la mboto karibu na msikiti wa Markaz. Bei yake ni Sh. Milioni 30 na mazungumzo yapo.
Eneo linafaa kwa makazi au Biashara kama ya Hosteli za wanafunzi wa chuo kikuu na Shopping center. Umeme upo kwenye eneo na maji yako...
Kama kichwa cha Tangazo kinavyojieleza,ninao uwezo wa kusuooly ngozi kavu 1000 za mbuzi kwa kila mwezi.
Alie na uhitaji njoo PM na offer yako.
Asanteni.
Dragoon, post: 15183982, member: 184803"]Hata kama inajulikana wewe hustahili kujua. Wewe utakuwa mvuvi tu, unataka kuvua samaki kwa kutumia sumu
Unakosea mkuu, Ningekuwa na nia hiyo, nazijua dawa za kuwaua bila tatizo,ndio maana Nikasema kuwalewesha temporarily.
Jamani kama kuna mwenye dawa ya kuwafanya samaki wakose fahamu kwa muda na kurudia hali zao za kawaida, naomba ani PM. Nahitaji kusafisha bwawa la kienyeji na kulijengea na kisha Niwarudishe humo ili Niwafuge kisasa zaidi.
Natumaini Nimeeleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.