SAF alichanganyikiwa alipoingia Emirates kuwaangalia Fabrigas, Ashavin na Vanpersie alafu kwenye mechi ya jtano kati ya asernal na celtic ili ajue jisni ya kufundisha mabeki wake jinsi ya kuwakaba alafu akakuta wote wapo nje.
Na ubaya wa watoto wa wenger ukiwabana washambuliaji basi wafungaji...
Ni wakati umefika kwa viongozi wa dini kuingilia kati na kukemea kwa nguvu zote uozo wa serikali. Naamini viongozi wa dini wanaweza wakafanikisha kuwafanya waone aibu kwani karibu asilimia 80 ya viongozi waovu wa serikali ni waumini wa dini mbalimbali sasa wakiona mitaani wanashambuliwa na...
Kuhama sio dawa kwani kwenye mchezo especially mpira wa miguu kuna mambo matatu
1. kushinda
2.kufungwa
3.droo
sasa unaweza ukahama na uko unakoamia ukakutana na kufungwa utaama tena au?
pamoja na kufungwa kwa asernal lakini lile toto football wanaolicheza si masikhara yaani ni burudani mno hapo...
Mimi ni mwana Asenal (Washikabunduki) lakini ukweli nachoshwa na aya matokeo ya arsenal
yaani sisi tumekuwa wasindikizaji tu na si washindani? ni lini tutachukua ata FA cup. Wenger inabidi abadilike kwanza aache ufaransa ambao ndio unamlinda silvester beki gani siku zote badala ya kumfuata adui...
Wizi mtupu
enzi za mwalimu watu kama hawa ni kuwanyanganya passport na mali zao zote na kuwarudisha uko wanakoita ni kijijini kwao, tunachapa bakora mbele ya umati wa watu alafu tunamkabizi kwa mwenyekiti wa kijiji haruhusiwi kutoka kijijini mpaka kwa ruhusa ya mwenyekiti wa kijiji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.