Wana jf habari zenu,
jana nilipata wakati mzuri kuupitia waraka wa kanisa katoliki,kwa ufupi waraka ni makini na hauna tatizo,umejaa points mwanzo hadi wisho,vipaombele vyote ni sahihi.
Ninawashauri viongozi wa madhehebu mengine,ngo's,na wananchi kwa ujumla kuinga mfano na kuelimisha wananchi...
Naunga mkono hoja,Namshauri Kingunge astaafu siasa maana anaboa sana,zama hizi sio za kudanganya watanzania,nashauri kama kuna point zimesahaulika kwenye Huu waraka basi madhehebu mengine yasaidie kuuboresha kwa manufaa ya watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.