Great Thinkers,
Taarifa yenyewe hapa chini kutoka katika tovuti yao inajieleza.
Ipongezwe sanaaa serikali kwa kusikia vilio vya wananchi wake wanaoagiza magari kutoka nje ya nchi.
Habari Za Weekend Wakuu,
Leo ni zamu ya Unpopular Opinion JF Edition
Toa wazo lako lolote kuhusu maisha, mapenzi, kazi, biashara au JF ambalo unaliamin na kukubaliana nalo ila watu wengi hawakubaliani nalo au Jamii haikubaliani nalo
Haya Twendeeeee
Habari Wakuu,
Huyu Yuda anayeongelewa kipindi hichi Clouds FM sasa hivi ni nani. Huyu Yuda inasemekana walipanga jambo na wenzake ila akawasiliti.
Somo la Pasaka hii ni Usaliti. Yuda huyu anayeongelewa kwenye hichi kipindi cha Clouds FM ni Yuda huyu wa kwenye biblia au ni mwingine? Kwasababu...
Habari za Jioni Wakuu,
Naona kumekua na wimbi la wanawake wadangaji kwenye mtandao pendwa wa professionals kwa jina la Linkedin.
Hawa wadangaji walianzia Badoo, wakaenda facebook ikachuja, wakaja JF, wakaenda insta sasa soko limekua gumu wameamua kufuata watu katika maeneo yao ya kazi.
Huko...
Heri ya Mwaka Mpya Great Thinkers,
Leo nimeamua kuja na huu uzi mahususi kwasababu ni mwisho wa mwaka na wengi wetu tunapenda kurudi makwetu. Wapare na Wachaga wataenda kwao Kilimanjaro, Wameru, Wambulu na Wamasai wataenda kwao Manyara na Arusha. Wasukuma, Wahaya na Wanyamwezi wataenda kwao...
Habari wakuu,
Hizi ni baadhi ya njia ambazo unaweza kuzifuata ili uondokane na madeni mwaka 2018. Madeni ni chanzo cha umaskini na kuua biashara za vijana wengi. Pia athari kama magonjwa ya moyo, msongo wa mawazo n. k
1. Andaa list ya madeni yako yooteeee.
2. Orodhesha na yatenge katika...
Habari Wakuu,
Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very...
Habari wakuu,
Nilikua naangalia live launch of One Plus 5 ambayo imefanyika mda mchache uliopita nchini China.
And kwa nilichokiona hii ndo inaweza kuwa simu bora kwangu kwa mwaka huu kutokana na vitu vikuu vitatu.
1. Affordability-Bei yake itakua inaanzia Euro 479
2. Specs-nitaleta list...
Katika mkutano uliofanyika hapo jana wa Nato, Trump alionekana kumsukuma Raisi wa Montenegro ili apate nafasi nzuri yeye ya kupiga picha. Na hakuomba msamaha wala kujutia kitendo hicho.
Nilichojifunza kutokana na tukio la jana ni kwamba, "Money can't buy class"
Video hii hapa
Link ya hiyo...
Habari Wakuu,
Leo kwenye gazeti la New York Times nimeona tumeshika tatu mkia kati ya nchi ambazo wananchi wake hawana furaha. Syria pia yupo juu yetu. Inakuwaje wakuu hadi North Korea wananchi wake wana furaha kuliko siye. Hadi Somali ambapo watu wanajitoa mhanga kila siku.
Unaweza kuhisi...
Habari za Jumapili wakuu,
Kuna mwenzetu humu ndani anajiita Kada wa Chadema. Lakini kwa uchunguzi mdogo nilioufanya ni kwamba anatumia jina la Kada wa Chadema ila hana mahusiano yoyote ya kiitikadi na Chadema.
Ukitaka kulijua hili angalia post zake zote za nyuma ndo utagundua anatumia jina...
Hi Wanabodi,
Chini ni list ambayo imetolewa na pornmd ikiorodhesha nchi zinazoongoza kwa uangaliaji wa zile video za kiutu uzima mitandaoni. List imenishangaza kwa kweli.
Hii hapa jionee mwenyewe.
Habarini za mchana wakuu,
Kumekua na wingi wa utajaji wa hili neno, "Mungu anawaona" pale inapotokea ukandamizaji wa haki au mambo yanapofanywa mrama na group flani.
Kusema, "Mungu anawaona" inamaanisha hamna njia nyingine ya utatuzi wa tatizo na kwahiyo unamuachia Mungu atatue hilo tatizo...
Habari za Jioni Wakuu,
Naomba nitumie kiswahili na kiingereza ili kueleweka zaidi.
Mimi naji'consider ni atheist nayeamini zaidi katika facts more than hearsay , ila kuna swali limekua likinitatiza na kunivunja moyo kuhusu science.
Tafuta utafutavyo, Google uwezavyo lakini hutapata jibu...
Habari Wakuu,
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini (SSRA) Bi Irene Isaka amesema marekebisho ya sheria namba 5 ya mwaka 2012 yalikwishafuta vipengele vya kujitoa kwenye baadhi ya mifuko ya jamii.
Amesema pia kuwa agizo la Bunge ilikuwa ni kuitaka...
Habari wakuu,
Kuna habari nimeona ITV sasa hivi kuwa kuna watanzania 56 maeneo ya Kagera wameuawa na wanajeshi wanaodhaniwa kutoka Rwanda.
Ni kweli nachokiona au ni miujiza hii?
Ndo huyu tunayemuita Rafiki wetu na tunataka tuite wataalamu wake wa IT au itakua ni watu wenye nia mbaya wanaotaka...
Habari za Asubuhi Wakuu,
Taarifa kutoka TRA zinazosambaa mitandaoni kuhusu kutoa ufafanuzi kuhusu VAT je ni za kweli?
Mwenye taarifa za kweli atuambie.
Bandiko lenyewe hili hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.