Great Thinkers,
Taarifa yenyewe hapa chini kutoka katika tovuti yao inajieleza.
Ipongezwe sanaaa serikali kwa kusikia vilio vya wananchi wake wanaoagiza magari kutoka nje ya nchi.
Side effect ya chanjo kama ipo mara nyingi ni immediate, within one week tayari utaona madhara kama ina madhara, kama hutaona any changes within one week to one month then hyo chanjo haina side effect.
Huu uzi ninahisi kuna mtu mmoja ameufungua halafu anauchangia kwa ids tofauti tofauti na lengo lake ni kumchafua mama.
Mama ni mtu wa vitendo, mfano mdogo agizo kuhusu TRA kutotumia nguvu na tumeona tayari wafanyabiashara ambao account zimefunguliwa tayari. Na mengi mazuri yanakuja, stay tuned
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani mama kawashika pabaya mmebaki mnaongea utopolo tuuu, na mimi nasema ashikilie hapo hapo hadi mjue hii nchi ni yetu soteeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila we mwamba nimekuinulia mikono[emoji119][emoji119][emoji119]
Ila one thing is for sure you are unconventionally intelligent and blunt in your rhetoric ndo maana wabongo wanakuona upo rude. Washazoea kuishi kwenye ulimwengu wa fake nice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.