Nitachoona mimi walichofanya ni sahihi mno kuliko wangebaki na kumsikiliza. Elewa unaposema humtambui kiongozi hauna sababu ya kumsikiliza. Kama wangebaki na kumsikiliza tungewauliza walikuwa wanamsikiliza nani ikiwa wao walishasema hawamtambui rais?
Dr. Slaa Awataka wanausalama waende mahakamani naye atatoa ushaidi huko.
Akijibu tuma za kuhusika kwa usalama wa taifa kwa uchakachuaji wa matokeo mkurugenzi wa idara hiyo alisema kuwa Slaa aliingizwa kichwakichwa na watu wanaojifanya wanausalama. Wao hawausiki kabisa kwani swala la uchaguzi...
Mwanjelwa
Ulitaka Dr. Slaa akae kimya na mwisho wa siku asaini kuwa amekubaliana na matokeo haya ya ubabaishaji?
Nionavyo mimi Dr. Slaa amefanya kile ambacho watu wengi wenye akiri timamu walikuwa wanakitarajia.
Swali lingine: Je kwa uonavyowewe matokeo haya ni sahihi? kama sio sahihi...
Kijana mmoja amekamatwa anatoglo na muhuri wa tume ya uchaguzi akiwa anataka kuingia nao ndani. Kijana huyo alikamatwa likiwa ni tukio la pili ambalo limefuatana na lile lilotangulia la kukamatwa kwa mtendaji kata wa Tabata aliyekuwa na karatasi zaidi ya tano za matokeo ambazo zilikuwa zimejazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.